iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 440
- 1,086
Natumai mu buheri wa afya tele,
Bila kupoteza wakati, naombeni tiba ya kutatua tatizo hili.
Nina tatzo la kumchukia mtu yeyote nnayekutana nae barabarani anaefanana na adui yangu ama mtu nisiyempenda naye ntaanza kumchukia hapo hapo.
Yaani haijalishi kama hajawahi nikwaza ntamchukia hivyo hivyo kwasababu amefanana na adui yangu ambae tulishakwazana kitambo.
Bila kupoteza wakati, naombeni tiba ya kutatua tatizo hili.
Nina tatzo la kumchukia mtu yeyote nnayekutana nae barabarani anaefanana na adui yangu ama mtu nisiyempenda naye ntaanza kumchukia hapo hapo.
Yaani haijalishi kama hajawahi nikwaza ntamchukia hivyo hivyo kwasababu amefanana na adui yangu ambae tulishakwazana kitambo.