Mkuu pole sana!
Tatizo kama hili lilimpata mdogo wangu na tulihangaika sana lkn ikaja gundulika baadae na matibabu yake ni simple mno!
Nadhani tatizo lako ni chemical imbalances,nenda LAB wakupime so called blood biometric.
Wataalam wapine madini yote mwilini mwako na blood plasmas
Sisi dogo walikuta kakosa madini Magnesium na Dr akasema ukosefu wa madini wengine huwafanya hadi wawe mental unstable!
Pole sana na please kapime blood biometric nina imani watagundua una ukosefu wa madini fulani,ukianza matibabu unapona completely