Mwenye nafasi yake karudi!KABLA YA KUTUMIA DAWA NENDA HOSPITALI KWANZA UKACHUNGUZWE
DuuhKata hiyo pua uunge wajihi...!πππ
hapo kwenye mfumo wa pua, madaktari wanajua mkuuNikachunguzwe nini
hahahaMwenye nafasi yake karudi!
Asanteuna allergy na kitu fln hapo......kuna kundi la dawa linaitwa ant allergies.....zipo nying lkn hutakiwi kutumia kuonana na daktar ndo atajua ipi itakufaa kutokana na atakavokuangali......
Asantehapo kwenye mfumo wa pua, madaktari wanajua mkuu
Habari zenu wapendwa, naombeni ushauri wenu nina tatzo la kutokewa na vidonda pua moja ya kushoto kinauma sana kinanitokea Mara kwa Mara kikipona nakaa kidogo kama mwezi au miezi 2 kinatokea ndani ya pua kunakuwa kumejaa vindonda alafu ni hii pua moja tu ya kushoto hii nyingine haijawahi. naombeni ushauri wenu nitumie Dawa gani
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Pole sana na nakuomba uwahi haraka kwa Daktari ila ukishapona tu acha kabisa tabia ya Kupenda Kunusanusa Chupi ya Mkeo / Mumeo hilo tatizo litakuwa historia Kwako.
Haha haha inaboa sana,Pole sana na nakuomba uwahi haraka kwa Daktari ila ukishapona tu acha kabisa tabia ya Kupenda Kunusanusa Chupi ya Mkeo / Mumeo hilo tatizo litakuwa historia Kwako.