mahadhialy
Member
- Oct 19, 2019
- 45
- 24
Habari zenu ndugu zangu
Mimi nimepata idea ya kuanzisha kikundi cha wanaume. Kikundi hicho kitamhusu mwanaume pamoja na jamii. Kikundi hiki kitaanzisha miradi mbalimbali kwa mfano viwanda, mashamba n.k. ilimradi tupunguze ukosefu wa ajira katika jamii lakini mambo yakienda sawa kikundi kitamiliki hospitali, shule n.k.
Pia itapunguza mababa kutelekeza familia zao kwasababu ya ukosefu wa ajira pamoja na umaskini. Kwahiyo ninaomba msaada jinsi gani nitakisajili kikundi kisheria.
Mnatakiwa muwe watu wangapi ili mpate kukisajili hicho kikundi? Na pia kwa yeyote anaetaka tushirikiane karibu sana mimi nipo Dar
Mimi nimepata idea ya kuanzisha kikundi cha wanaume. Kikundi hicho kitamhusu mwanaume pamoja na jamii. Kikundi hiki kitaanzisha miradi mbalimbali kwa mfano viwanda, mashamba n.k. ilimradi tupunguze ukosefu wa ajira katika jamii lakini mambo yakienda sawa kikundi kitamiliki hospitali, shule n.k.
Pia itapunguza mababa kutelekeza familia zao kwasababu ya ukosefu wa ajira pamoja na umaskini. Kwahiyo ninaomba msaada jinsi gani nitakisajili kikundi kisheria.
Mnatakiwa muwe watu wangapi ili mpate kukisajili hicho kikundi? Na pia kwa yeyote anaetaka tushirikiane karibu sana mimi nipo Dar