Naombeni msaada juu ya Tatizo la kukosa usingizi, kwa baadhi ya siku, Yaani kuna siku huwa nahesabu mabati mpaka asubuhi, usingizi hauji kabisa, nawezaje ondokana na hili tatizo.
Punguza matumizi ya simu usiku,punguza mwanga wa display
Badilisha taa yenye mwanga hafifu
Punguza mawazo
Unayemuwwza nayeye anaye wa kwake anayemuwaza
Usipe stress
Naombeni msaada juu ya Tatizo la kukosa usingizi, kwa baadhi ya siku, Yaani kuna siku huwa nahesabu mabati mpaka asubuhi, usingizi hauji kabisa, nawezaje ondokana na hili tatizo.
Punguza matumizi ya simu usiku,punguza mwanga wa display
Badilisha taa yenye mwanga hafifu
Punguza mawazo
Unayemuwwza nayeye anaye wa kwake anayemuwaza
Usipe stress