Msaada: Ninatoa shahawa zenye mchanganyiko wa damu

Msaada: Ninatoa shahawa zenye mchanganyiko wa damu

Premise

Member
Joined
Jun 30, 2021
Posts
35
Reaction score
43
Habari za muda huu wana familia wa jamii forum...

Naomba kufahamu tatizo hili kama linatibika maana nimeona hizi habari hapa

Nadhani mimi si wa kwanza kupatwa na tatizo hili. Naomba kufahamu kutoa shahawa zenye damu inasababishwa na nini? Wale mliopitia hali hii mlitumia dawa gani au mliambiwa ni nini na daktari wenu kilichofanya tatizo hili kupona?

Sio kwamba sitaki kwenda kumuona daktar, Nataka uhakika na tatizo hili nilijue kwanza vizuri maana kuna mdau hapa alisema alienda hospital Akaambiwa ni U.T.I.

Sugu Wakampa na madawa but mlejesho wake bado alisema hajapona

Nisaidieni
 
Zamani nilisikua ukipiga goli kama la 5 utatoa damu.Hii ina maana shahawa zinakuwa zimeisha.

Inawezekana wewe kiwanda cha kuunda shahawa kimepata hitilafu.

Just logic sijawahi soma popote.
 
Pitia hapa Mkuu 👇
 
Pitia hapa Mkuu 👇
Asante ila nimeshapitia sijaona sehemu walipoweka bayana uwazi wa tatizo hili ndo maana nimeileta tena hapa
 
Kebehi kama hizi Ndo zinafanya watu wapambane na matatizo yao kimya kimya

Anyway mimi nina ujasili wa kutoka nakusema kwakuwa nimekutana na jumbe za namna hii zaidi ya mara tatu tena ambazo wengine waliuliza mwaka 2016
Hii inamaanisha haya matatizo yapo
Nisamehe

Sperms mbovu muone dkt
 
acha ngono angalau mwezi mmoja, kula vizuri, fanya mazoezi mepesi, kula matunda sana, mihogo mibichi, sea food kwa mwezi wote huo halafu piga game tena na mke wako uangalie..

inaweza ikawa bank ya maji meupe imekauka na production ni very low sasa hapo kisima kinatoa uchafu tu..
 
Ohoo kimeumana siyo gono kwel
atafute dawa anywe mapema la sivyo kesho au keshokutwa atarudi hapa kusema sasa yanatoka maziwa. Mwamba next time Msikilize jay mo na ferooz kwenye jirushe kuna mstari unasema "HAPA HAKUNA DEMU WA KWENDA NAYE NYAMA KWA NYAMA"Emb utaarifu mchepuko usizidi kuumiza wengine ukajigange kwanza. Nyumbani asiombe kazi ndugu yetu mpaka amalize dozi
 
Back
Top Bottom