chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,764
- 2,559
Tumia antibiotic utapona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaenda kavu miaka ming mzeeatafute dawa anywe mapema la sivyo kesho au keshokutwa atarudi hapa kusema sasa yanatoka maziwa. Mwamba next time Msikilize jay mo na ferooz kwenye jirushe kuna mstari unasema "HAPA HAKUNA DEMU WA KWENDA NAYE NYAMA KWA NYAMA"Emb utaarifu mchepuko usizidi kuumiza wengine ukajigange kwanza. Nyumbani asiombe kazi ndugu yetu mpaka amalize dozi
Kwahiyo corodan haipokei damu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwenye korodani damu zinatokea wapi ?
This is very new to me, pole sana chief
Umelogwa si bureHabari za muda huu wana familia wa jamii forum...
Naomba kufahamu tatizo hili kama linatibika
Maana nimeona hizi habari hapa
Nadhani mimi si wa kwanza kupatwa na tatizo hili
Naomba kufahamu kutoa shahawa zeny damu inasababishwa na nini...
Wale mliopitia hali hii mlitumia dawa gan au mliambiwa ni nini na daktari wenu kilichofanya tatizo hili kupona
Sio kwamba sitaki kwenda kumuona daktar, Nataka uhakika na tatizo hili nilijue kwanza vizuri maana kuna mdau hapa alisema alienda hospital Akaamviwa ni U T I
Sugu Wakampa na madawa but mlejesho wake bado alisema hajapona
Nisaidieni
Kama unakunywa asali kama maji au juice unategemea nini?Habari za muda huu wana familia wa jamii forum...
Naomba kufahamu tatizo hili kama linatibika
Maana nimeona hizi habari hapa
Nadhani mimi si wa kwanza kupatwa na tatizo hili
Naomba kufahamu kutoa shahawa zeny damu inasababishwa na nini...
Wale mliopitia hali hii mlitumia dawa gan au mliambiwa ni nini na daktari wenu kilichofanya tatizo hili kupona
Sio kwamba sitaki kwenda kumuona daktar, Nataka uhakika na tatizo hili nilijue kwanza vizuri maana kuna mdau hapa alisema alienda hospital Akaamviwa ni U T I
Sugu Wakampa na madawa but mlejesho wake bado alisema hajapona
Nisaidieni
Naomba kufaham kama umeshawah kusikia ama kushuhudia mgonjwa wa aina yanguCalm down mkuu, kama ni over 40yrs may inaweza Ikawa ishu umtafute daktar, but if it's below that, sio big issue kama huwa haijirudii periodically, but huwa inapotea baada ya Muda kidogo tuu, hii husabishwa na maambukizi ya ugonjwa wa ngono hasa gonorrhea na Chlamydia so kama una wasiwasi na hayo magonjwa basi wahi Kwa daktari, na kingine kinachosabsbisha ni inflammation, kama ikitokea kuna inflammation yoyote kutoka kule zipokuwa produced Hadi zinapotokea unaweza kuejaculate na damu but huwa inapotea baada ya Muda, si unajua immune system ya binadamu ilivyovnoma,
Cha msingi hajalogwa na chunguza kama unamagonjwa ya ngono
NOTE
Hili tatizo lipo sema wanaume hatuchunguzi sperm zetu baada ya ejaculation ndo mana ni kitu ambacho sio common sana Kwa watu
Mwambieni aache punyetoOhoo kimeumana siyo gono kwel
Je asali mbichi utamsaidia?Una produce dead sperms
Nyeto haina madharaMwambieni aache punyeto
Fafanua mkuu.Si kweli
Mimi ndie mwenye tatizo sasa nakwambia sio kweli unataka nifafanuejeFafanua mkuu.
Huyo anajichua kwa kutumia nguvu nyingi mpaka mishipa ya damu inapasuka