Kuna mtu alitumia hii ikamsaidia unaweza kujaribu kama itawork na kwako piaChunusi za sumbua je, Tiba yake ni nini?
Ukikua zitaisha kula ukueChunusi za sumbua je, Tiba yake ni nini?
Sio kwamba umekuwa?Tafuta scrub uwe unajiscrub kila siku jioni, au kama hauna uwezo tafuta dodoki uwe unajisugua usoni, chunusi ni uchafu wa ngozi kwahyo unahitaji uisafishe ili iwe free from uchafu..trust me within week 1 utakua soft na usiwe unapaka mafuta yoyote usoni..mimi nilikua na chunusi nyingi nikatumia mafuta kibao, ila tangu nimeanza kutumia dodoki nimekua soft sina kipele hata kimoja
Hapana ishu sio kukua kwan wangap ni wakubwa na wana chunusi..? Chunus ni uchafu na mafuta yaliyojisukunya chini ya ngozi so inatakiwa uisugue ngoz ili iruhus uchafu utokeSio kwamba umekuwa?