Acha mihemko we pimbi, chunusi ni tatizo sensitive kuliko unavyodhani...as for your case labda ilikua uchafu but sio kwa watu wote iko hivyo.Tafuta scrub uwe unajiscrub kila siku jioni, au kama hauna uwezo tafuta dodoki uwe unajisugua usoni, chunusi ni uchafu wa ngozi kwahyo unahitaji uisafishe ili iwe free from uchafu..trust me within week 1 utakua soft na usiwe unapaka mafuta yoyote usoni..mimi nilikua na chunusi nyingi nikatumia mafuta kibao, ila tangu nimeanza kutumia dodoki nimekua soft sina kipele hata kimoja
Nakubaliana na wewHapana ishu sio kukua kwan wangap ni wakubwa na wana chunusi..? Chunus ni uchafu na mafuta yaliyojisukunya chini ya ngozi so inatakiwa uisugue ngoz ili iruhus uchafu utoke
Usafi wa mashuka na mito ndio kitu cha kwanza kabisa,kuosha uso mara mbili hadi tatu kwa siku kwa kutumia sabuni maalum ya kuondoa mafuta usoni muhimu sana,. Usafi wa simu Yako pindi unapoiweka usoni kuzungumzaChunusi za sumbua je, Tiba yake ni nini?
Mbona wazungu hawana chunusi ?Acha mihemko we pimbi, chunusi ni tatizo sensitive kuliko unavyodhani...as for your case labda ilikua uchafu but sio kwa watu wote iko hivyo.
Pakaa Colgate dawa ya Meno ina kausha na ngozi inarudi kua kawaida, pakaa kaa nusu saa suuza uso wako vitakauka na kupoteaNahtaji msaada Nina chunusi zisizoisha ,rashes dark spots Kila nacho tumia siku za mwanzo kinanikubali lkn ikipita wiki tu natokwa tena n chunusi
Duh nmechoka kwakweli
Alokwambia wazungu hawana chunusi ni nani? Na kwa nini kila kitu mnalinganisha na wazungu? Nenda google na search facial acne uone picha za hao wazungu wako walivyo na acne tele wanaume na wanawake.
Alokwambia chunusi zinatokana na stress amekudanganya peupe!!!!!Chunusi inatokana na stress ,ondoa stress
Inapokuja juu ya suali la chunusi hakuna dawa inayoweza kumtibu kila mtu, dawa itakayomfaa mtu mmoja haitomfaa mtu mwengine, Ushauri wangu ni kwanza kamuone daktari bingwa wa ngozi- dermatologist akupe ushauri na hata anaweza kukufanyia test mbali mbali na kukushauri dawa za kujaribu. Pia jaribu kutumia sabuni ya dove watu wengi wanasema inasaidia kukausha chunusi na kupunguza nguvu zake. Uwe unakosaha uso kwa kutumia maji ya room temperature angalau kwa mara tatu kwa siku. Usitumie makeup kali na chagua moja na sio kila siku kubadili badili. Hakikisha unakuwa na face towel unazotumia wewe tu na uhakikishe uanzifua mara kwa mara. Pia uwe unabadili na unakosha cover za pillows zako kila mara. Ukiamua kutumia dawa yeyote ile basi dumu nayo kwa kipindi uone mabadiliko yake na sio kubadili dawa kila siku mtu anaposema dawa fulani ni nzuri zaidi.Chunusi za sumbua, je, tiba yake ni nini?
Shukran kwa kunisaidia kujibu, maana ushamba ni mzigo!Alokwambia wazungu hawana chunusi ni nani? Na kwa nini kila kitu mnalinganisha na wazungu? Nenda google na search facial acne uone picha za hao wazungu wako walivyo na acne tele wanaume na wanawake.
AAAA sasa huo ni uchafu wa mwisho! kupaka mate usoni alokwambia ni dawa ya chunusi ni nani? Hizi idea za gengeni jamani tuacheni maana nimeona watu wanashauri kupaka damu ya period, shahawa na sasa mate! come on this is too much!Usipaka mafuta yenye oil, usipaka mafuta ya mgando usile karanga mbichi kwa wengine zinaharibu ngozi huleta vichunusi
Paka lotion changanya na mate kidogo ndiyo upake, kabla ya kulala paka mate usoni ndiyo ulale matokeo ni kabla ya wiki
Ni uchafu kivipi mkuu?AAAA sasa huo ni uchafu wa mwisho! kupaka mate usoni alokwambia ni dawa ya chunusi ni nani? Hizi idea za gengeni jamani tuacheni maana nimeona watu wanashauri kupaka damu ya period, shahawa na sasa mate! come on this is too much!
Hivi kiswahili ni lugha yako? Mambo ya kutapeliwa yamekujaje hapa? Hivi wewe ni mtu wa asili gani ya kuwa huoni kuwa kujipaka mate usoni si uchafu? Una proof gani kuwa mate ni dawa ya chunusi? Usikae huko uliko na kudanganya watu tu!Ni uchafu kivipi mkuu?
Na unachobisha hapo ni nini
Nimekwambia before wiki kuisha hautakuwa na hivyo vichunusi unakataa kwamba umefanya na hujapata matokeo au kuna mtu ameombwa hela kwamba unaogopa kutapeliwa?