How old are you bra?Hivi kiswahili ni lugha yako? Mambo ya kutapeliwa yamekujaje hapa? Hivi wewe ni mtu wa asili gani ya kuwa huoni kuwa kujipaka mate usoni si uchafu? Una proof gani kuwa mate ni dawa ya chunusi? Usikae huko uliko na kudanganya watu tu!
Au unataka kuhakikishiwa vizuri kwamba mate ni dawa?
Kama ndiyo!
Basi njia unayotumia si sahihi
Nikwambie tu kwamba jitahidi ukue kwa sababu inaonekana bado ni mdogo kiasi ya kutojua dunia inaendaje kwa mambo tu ya kawaida
dunia ina mengi sana hii utaendelea kujionea na kuchukulia mambo kawaida
Mate yana ant bacteria na ndiyo sababu yanasaidia kwenye shida hiyo
Lakini hivi kwanini unakaa na uchafu mdomoni nanii?