Msaada : Nini kazi ya usalama wa Taifa TISS?

Msaada : Nini kazi ya usalama wa Taifa TISS?

Status
Not open for further replies.
Hiyo idara inahitaji kubadilisha mfumo wote ,kuwe na idara inayoshghulikia mambo ya ndani ya nchi na idara inayoshughulikia mambo ya nje ya ichi ,hizi idara ziwe zinajitegemea

Acha kebehi kwa vyombo vya ulinzi wakati we unalala na kupost ujinga jua kwamba kuna watu wapo wanahakikisha watanzania na wewe ukiwammoja wapo mnaishi salama amani na utulivu.

Wasomali na wa syria wanatamani wangezaliwa bongo
 
Utangulizi
Upotevu na uharibifu wa rasilimari za nchi ni mkubwa sana kiasi kwamba wachina wamefikia hatua ya kutorosha hadi kobe kupeleka kwao. Kwa ufupi ni kwamba biashara za magendo juu ya rasilimali za nchi ni mkubwa sana.

Hapo awali hawa jamaa kazi yao ilikuwa tu kuidhibiti chadema isiweze kuharibu Uhai wa chama tawala lakini leo hii Rais mteule anaibua madudu mengi sana ili hali TISS wapo.

Kwa ufupi binafsi TISS nao ni JIPU linahitaji kutumbuliwa.

Mkuu kazi zao zimeainishwa vema kwenye katiba, unachoshindwa kuelewa ni kwamba wao hawakamati watu ispokua wanachukua taarifa kwa siri wanazipeleka kwenye vyombo vingine kwa ajili ya luchukua hatua! Inawezekana hizi taarifa walishazifikisha mahali husika ila hatua zilikua hazichukuliwi kwa maksudi kulinda maslahi ya baadhi ya watu flani flani.
 
kazi za usalama wa taifa ni 3 tu

1. Kulinda viongozi
2. Kulinda uchumi
3. Kulinda utamaduni

lakini kwa miaka mingi, hayo mawili ya mwisho yalikuwa hayafanyi ndio maana uchumi wetu umeharibiwa na vilevile utamaduni wetu umechafuliwa kabisa. Kwa sasa wamebakia na kazi moja tu kulinda viongozi. Ila inavyoonekana serikali ya awamu ya 5 inaweza kurudisha kazi zao ipasavyo.

Hakuna zaidi ya kazi ni hizo. Mkuu

Ahsante mkuu

Kwa hiyo hilo la kulinda rasilimali za nchi kumbe siyo kazi yaooooo
 
Moja ya idara inayohitaji kufumuliwa ni hii,, kuendana na kasi ya JPM inabidi JPM mwenyewe ahakikishe anadeal na TISS kuiweka sawa kwanza, TISS haiko sawa kikazi, baadala yake limekuwa genge la wanasiasa na kimbilio la wale kamlete na sio tena ile TISS ya zamani tulioijua. Kuendana na kasi ya dunia na technolojia basi naweza sema TISS ya tanzania imeachwa nyuma hatua nyingi sana na dunia na inaonekana haifanyi kazi kizalendo kabisa.. TISS + JWTZ ni taasisi zinazotakiwa kufanya kazi kwa karibu sana ili kulisaidia taifa kimaendeleo,, moja kuwa na viongozi sahihi, mbili kudhibiti mamluki kwenye uongozi,tatu kuhakikisha maslahi ya taifa yanalindwa popote pale, nne kuhakikisha usalama wa kila kiongozi na wananchi wa tanzania, tano kuhakikisha kuna future ya taifa miaka mingi mbele,nk.. ukiangalia TISS yetu imejaza vijana masharobaro wapenda sifa mtaani,wanyanyasaji watu mitaani, vibaraka wa wanasiasa... JPM IMULIKE TISS IFANYE KAZI KIZALENDO, IKIWEZEKANA IFUMUE MAANA PALE JWTZ WAPO VIJANA WAZALENDO WANAWEZA KUFANYA HIYO KAZI...
 
Kwa minajili ya jina tu huwezi kupunguza majukumu sababu majukumu yanaongezeka na kubadilika kadri asili ya "vivunja" usalama vinayobadilika na kuongezeka. . . .

Mfumo lazima uwe flexible enough kuweza kuendana na mahitaji ya "usalama" kwa wakati huo. . . . .
NB. Wapo watu wa fani, kada "aina zooooote" zinazoweza kufikirika ili hiyo hoja yako iweze kuatamiwa. . . . . .
Wanasema kila zama na kitabu chake. . . . . tusome kilichopo sasa!!!!

Asante Mkuu japo niliposema kupunguza Majukumu sikua na maana ya kuwapunguzia TISS kazi ,nilikua na maana badala ya kila kitu kufanywa na TISS badala yake kama walivyofanya kwa FIU ni kuongeza majukumu ,mathalani kadri siku zinavyokwenda kutokana na mahitaji ya wakati tutahitaji counter terrorist unit nk ,kimajukumu haya mambo yanaingiliana mkuu ila kuwepo kwa muundo utakaozipa mamlaka kamili hizi taasisi nadhani ingesaidia zaidi ,ntapitia sheria na katiba kama ulivyonielekeza Mkuu
 
Acha kebehi kwa vyombo vya ulinzi wakati we unalala na kupost ujinga jua kwamba kuna watu wapo wanahakikisha watanzania na wewe ukiwammoja wapo mnaishi salama amani na utulivu.

Wasomali na wa syria wanatamani wangezaliwa bongo

Sina uhakika kama umeelewa nlichokisema
 
Moja ya idara inayohitaji kufumuliwa ni hii,, kuendana na kasi ya JPM inabidi JPM mwenyewe ahakikishe anadeal na TISS kuiweka sawa kwanza, TISS haiko sawa kikazi, baadala yake limekuwa genge la wanasiasa na kimbilio la wale kamlete na sio tena ile TISS ya zamani tulioijua. Kuendana na kasi ya dunia na technolojia basi naweza sema TISS ya tanzania imeachwa nyuma hatua nyingi sana na dunia na inaonekana haifanyi kazi kizalendo kabisa.. TISS + JWTZ ni taasisi zinazotakiwa kufanya kazi kwa karibu sana ili kulisaidia taifa kimaendeleo,, moja kuwa na viongozi sahihi, mbili kudhibiti mamluki kwenye uongozi,tatu kuhakikisha maslahi ya taifa yanalindwa popote pale, nne kuhakikisha usalama wa kila kiongozi na wananchi wa tanzania, tano kuhakikisha kuna future ya taifa miaka mingi mbele,nk.. ukiangalia TISS yetu imejaza vijana masharobaro wapenda sifa mtaani,wanyanyasaji watu mitaani, vibaraka wa wanasiasa... JPM IMULIKE TISS IFANYE KAZI KIZALENDO, IKIWEZEKANA IFUMUE MAANA PALE JWTZ WAPO VIJANA WAZALENDO WANAWEZA KUFANYA HIYO KAZI...

Neuro surgeons wako wachache sana. . . .,. .Mfumo wa fahamu hauwezi kushughulikiwa kama unavyoweza kushughulikia mguu ulioumia kwenye ajali ya bodaboda. . . . .mfumo wa fahamu wa mwili unahitaji umakini sana unaweza anza kwa nia ya kuondoa uvimbe ukaishia na kupata hemi/para-plegia. . . . .

Mfumo wa fahamu wa mwili. . . . . .
 
TISS ipo vizuri ila ufanisi na ubora wake hutegemea na aina ya utawala wa rais aliyepo madarakani.(rejea utendaji kazi wa TISS wakati wa utawala wa nyerere,mwinyi,mkapa,JK na sasa JPM).

ni maono yangu tu.
 
Usalama wa taifa.

Napendekeza tuendelee kuiita Tiss,maana dhima ya neno usalama wa taifa kama imewazidi uwezo kiasi flani.

Hawa watumishi nikikutanaga nao wengi huwa nabaki kutikisa kichwa tu,nadhani wanahitaji kupigwa moto ili wang'ae.
 
Kazi yake ni kuua upinzani nchini,cjui kama jpm ataibadilisha ifanye kaz zake hasA.
 
According na Google Intelligence Agency ni taasisi yeyote inayokusanya taarifa mbalimbali same as CIA, same as KGB, MOSSAD, M6 NSA na nina imani hii ya hapa kwetu inafanya kazi the same way ya ukusanyaji Wa taarifa taarifa gani and how they collect those information no one knows
 
According na Google Intelligence Agency ni taasisi yeyote inayokusanya taarifa mbalimbali same as CIA, same as KGB, MOSSAD, M6 NSA na nina imani hii ya hapa kwetu inafanya kazi the same way ya ukusanyaji Wa taarifa taarifa gani and how they collect those information no one knows

Usiseme no one knows wakati kazi ni kukusanya taalifa zinazohatarisha usalama kuzikabidhi kwa wadau wenye meno nakuzifanyia kazi.

Wadau wenye meno nao ni wadau wa usalama.

Sjui wanakwepa vip hii mimba.ni uhuni tu tunafanyiana nchini hapa.ila nina imani na serikali ya tano.
 
Unawezakuta TISS wanafanya kazi yao vizuri. Kazi yao ni ushauri (Advisory) kwa watendaji wakuu. Sasa watendaji wasipotumia ushauri huo TISS hawawezi kuwalazimisha.
 
  • Thanks
Reactions: rsk
Utangulizi
Upotevu na uharibifu wa rasilimari za nchi ni mkubwa sana kiasi kwamba wachina wamefikia hatua ya kutorosha hadi kobe kupeleka kwao. Kwa ufupi ni kwamba biashara za magendo juu ya rasilimali za nchi ni mkubwa sana.

Hapo awali hawa jamaa kazi yao ilikuwa tu kuidhibiti chadema isiweze kuharibu Uhai wa chama tawala lakini leo hii Rais mteule anaibua madudu mengi sana ili hali TISS wapo.

Kwa ufupi binafsi TISS nao ni JIPU linahitaji kutumbuliwa.

Binafsi sijajua nini hasa kazi yao, hebu cheki na Ulimboka kuna kipindi nilisikia alifanya nao kazi kwa karibu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom