A
Anonymous
Guest
Naomba kujua, hivi ikitokea kuna vikundi viwili vinashtakiana mahakamani na kikundi kimoja kikashindwa na kingingine kilichoshindwa kikakaidi kutumia hiyo hukumu, na kushirikiana na wizara wanaendelea kuvunja hiyo hukumu.
Nini kinachoweza kufanyika ili kuondoa huu mkorogo?
Hasa vikundi vya dini.
Nini kinachoweza kufanyika ili kuondoa huu mkorogo?
Hasa vikundi vya dini.