Jasusi ni mpelelezi wa hali ya juu anayeweza kuingia mahali popote bila kuonekana. Ni kweli neno hilo limetokana na jina JESUS kwani naye Alikuwa na uwezo huo, ikiwemo kuingia duniani kimiujiza
Mkuu Nikupe fundisho dogo tu... Neno Jasusi ni neon limetokana na neon la kiarabu "jasus" Sasa maana ni Mtu mweye kuwa na uso mbili (wasemavyo wenyewe) Yaani mtu huyo hukuonesha uso wa kupenda na uso wa kukutangaza !! Yaani Mnafiki anaiishi na wewe lakini siri zako anapeleka kwa muingine huko. Mfano nchi hutuma vijana wake kuenda kusoma nje,, Sasa wakati huo huo kati yao hao vijana huamrishwa mmoja kuleta repoti za wenzao nchini kwa walokuwa nje !! Hivyo huyu kijana ana jasisi mwenendo wa wenzao !!Kitambo kabla cjawa baba nilikuwa najua mtu ukimwita jasusi ni jambazi lililoshindikana, baadae tena naanza kujifunza kingereza neno jesus nilikuwa natamka jasusi hapo ndo nilizidi kupagawa lakini niwe muwazi tu hadi hivi leo sijajua maana halisi ya neno jasusi au hao majasusi ni akina nani
Msaada waungwana
Nawasilisha.
Kitambo kabla cjawa baba nilikuwa najua mtu ukimwita jasusi ni jambazi lililoshindikana, baadae tena naanza kujifunza kingereza neno jesus nilikuwa natamka jasusi hapo ndo nilizidi kupagawa lakini niwe muwazi tu hadi hivi leo sijajua maana halisi ya neno jasusi au hao majasusi ni akina nani
Msaada waungwana
Nawasilisha.
Hapa utadanganywa sana chamsingi kama kalugha ka watu kanapanga tafuta vitabu vya introduction to epstionage and intelligence basii utaelewa maana halisi ya Jasusi mkuu
Hapo sasa ndo mtihani mdau
Kusoma naweza ila kuelewa ndo empty kabisa kudadadeki
Hapa utadanganywa sana chamsingi kama kalugha ka watu kanapanga tafuta vitabu vya introduction to epstionage and intelligence basii utaelewa maana halisi ya Jasusi mkuu
Bila Shaka Wewe Umeshasoma Hivyo Vitabu, Unge eleza Japo Kwa Ufupi Ulichojifunza(ukweli) Badala Ya Kumuacha Adanganywe Hapa.
Kwa namna ulivyomalizia tu na hilo neno (kudadadeki)psychologically inaonesha kuwa unafahamu kitu ila tu upo hapa kutaka kutuzuga mkuu.Hapo sasa ndo mtihani mdau
Kusoma naweza ila kuelewa ndo empty kabisa (kudadadeki)
My name is Bond, James Bond.