kzba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,355
- 789
Kitambo kabla cjawa baba nilikuwa najua mtu ukimwita jasusi ni jambazi lililoshindikana, baadae tena naanza kujifunza kingereza neno jesus nilikuwa natamka jasusi hapo ndo nilizidi kupagawa lakini niwe muwazi tu hadi hivi leo sijajua maana halisi ya neno jasusi au hao majasusi ni akina nani
Msaada waungwana
Nawasilisha.
Msaada waungwana
Nawasilisha.