Msaada: Nini nifanye ili nitatue hili tatizo la gari yangu

Msaada: Nini nifanye ili nitatue hili tatizo la gari yangu

Zogoo da khama

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2013
Posts
631
Reaction score
592
Wakuu leo asubuhi, gari iliniletea usumbufu, tatizo ni steering kuwa ngumu sana kama naendesha fiat, na kwenye dash board likatokea neno P/S hapo tatizo nini.

Nifanye nini?
 
Wakuu leo asbh, gari iliniletea usumbufu, tatizo ni steering kuwa ngumu sana kama naendesha fiat, na kwenye dash board likatokea neno P/S hapo tatizo nini, nifanye nini?
P/S ni power steering.

Labda pressure ya hydraulic oil ya steering ni ndogo ndio maana.

Angalia kama oil yake imepungua.
 
Back
Top Bottom