Msaada: Nini password ya hapa?

CEYLON

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2012
Posts
305
Reaction score
141
Kama kuna mtu ameomba kazi ya ukarani wa sensa, hapa kwenye password naandika nini?

 
Hakuna sehemu yoyote ambayo unahitajika kuweka password,
Labda Kuna sehemu umeenda sipo
 
Hakuna sehemu yoyote ambayo unahitajika kuweka password,
Labda Kuna sehemu umeenda sipo
Nilifika hatua ya mwisho kabisa,na fomu Na.1 ikaja na picha yangu ila nikasahau kui download.Narudi vipi kwenye hatua ile ya kupakua fomu?
 
Nilifika hatua ya mwisho kabisa,na fomu Na.1 ikaja na picha yangu ila nikasahau kui download.Narudi vipi kwenye hatua ile ya kupakua fomu?
Nenda kwenye email Yako ambayo umejisajili watakuwa wamekutumia password
 
Nilifika hatua ya mwisho kabisa,na fomu Na.1 ikaja na picha yangu ila nikasahau kui download.Narudi vipi kwenye hatua ile ya kupakua fomu?
Jitahidi kutokuwa na haraka, soma kila ujumbe unaokujia kabla ya kufunga window tab.
 
Hapo weka namba ya simu ,uliyoiandika wakati wa kujaza maombi.
 
Mleta mada natumae umepata muongozo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…