Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kwenye email Yako ambayo umejisajili watakuwa wamekutumia passwordNilifika hatua ya mwisho kabisa,na fomu Na.1 ikaja na picha yangu ila nikasahau kui download.Narudi vipi kwenye hatua ile ya kupakua fomu?
Password wanakutumia kwenye email mkuuKama kuna mtu ameomba kazi ya ukarani wa sensa,hapa kwenye password naandika nini?
View attachment 2214256
Jitahidi kutokuwa na haraka, soma kila ujumbe unaokujia kabla ya kufunga window tab.Nilifika hatua ya mwisho kabisa,na fomu Na.1 ikaja na picha yangu ila nikasahau kui download.Narudi vipi kwenye hatua ile ya kupakua fomu?
Mkuu mm nimejaribu kuomba lakin majibu ninayopata ni kwamba namba yangu ya mtihani kidato cha nne imeshatuma maombi.Hakuna sehemu yoyote ambayo unahitajika kuweka password,
Labda Kuna sehemu umeenda sipo
Nenda kwenye email Yako ambayo umejisajili watakuwa wamekutumia password
Andika Namna Hii Mf S1340_0092_2007 Na Sio Hivi S1340-0092-2007 ,TUMIA _ na sio -Mkuu mm nimejaribu kuomba lakin majibu ninayopata ni kwamba namba yangu ya mtihani kidato cha nne imeshatuma maombi.
Mkuu nashkuru sana nimefanikiwa.Andika Namna Hii Mf S1340_0092_2007 Na Sio Hivi S1340-0092-2007 ,TUMIA _ na sio -
[emoji1479]Mkuu nashkuru sana nimefanikiwa.