Habari za hapa!!
hii hali siielewi itaisha lini! huwa nakuwa mkali ghafla inayoambatana na mawazo mengi kiasi kwamba hadi inaathiri mfumo wa hedhi Najikuta inakuwa mara 2 kwa mwezi hasa pale mtu anaponigusa mamboyaliyoniathiri ubongo hadi leo mambo hayo ni;
1] kukosa kazi kwenye taasisi yoyote [serikalini] niliyoidhamiria tangu nipo chuo,, mpaka leo hii nasota taasis binafsi huwa naumiaga sana sasa mtu akinigusia hapo tu nakuwa mkali nawaza kichwa kitauma mpaka nimeze paracetamol ndo kitatulia.
2] KUsalitiwa na mwenzangu niliokolewaga na mam baada ya kutaka kumeza piriton 90 ili Nipotee dunian naukizingatia kazi nliyoitaka sijaipata,, mchumba tuliekuwaga na malengo nae kazalisha Mwingine sas ya nin nibaki? sasa baada ya kufeli kujitoa duniani,, nimebaki na mawazo na hasira za ghafla kwa vitu hivo,
POMBE situmiagi kabisa japo kuna watu waliniambia nitumie,,,,, juzi tu apa kuna mtu tunatanianaga nae aligusa moja kati ya ivo ghafla nikawa mkali nikamtext kiukali yaan mawazo yakarudi upya,,.
Sasa nisaidieni.