Msaada:Nini sababu ya maiti kutokwa na damu mpaka wakati wa kuzikwa ?

Msaada:Nini sababu ya maiti kutokwa na damu mpaka wakati wa kuzikwa ?

BAOBAO

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2012
Posts
1,874
Reaction score
555
Heri ya mwaka mpya!!! Wakuu hasa wenye ufahamu wa kuhusu tatizo la maiti kutokwa na damu puani na masikioni mpaka watu kuziba kwa pamba sehemu zote za mwili zinatoka damu.Naomba msaada au ushauri kwa sababu leo tena,tunamzika ndugu ambaye amepatwa na tatizo hili! Nakumbuka,tulipatwa na msiba wa ndugu yetu aliyeanguka ghafla njiani na kufariki huko Lindi vijijini;mpaka anazikwa Mbeya akiwa ana siku 4 bado alitokwa na damu inayonuka sana! Nipo msiba na umeme ni shida.
 
Pole sana kwa kufiwa. Ila sababu siijui. Ngoja akitokea anayejua atatujuza.
 
Animals bleed from the mouth or nose directly after death because of internal bleeding, which may be either from trauma or disease/infection. Blood, like most fluids, travels the course of least resistance and gravity when it flows.

Flow of other fluids mixed with blood usually comes as decomposition progresses and pressure creates new avenues for expelling them, such as burst ear drums or bursting of organs into other organs or areas having previously expelled their contents.

The lower digestive track may or may not release its contents immediately or shortly after death, due to lack of anything there (chronic health problems, diet or starvation/dehydration) or organic/structural obstructions that hinder the action. It can expel blood, if any inflammation there recedes after death and the large amount of blood bursts walls/capillaries. Force trauma to the area can also cause this to happen immediately. Usually what is in the lower track comes out the bottom of the torso, because of the structure of the intestines.


Source: Why do mammals bleed out of the mouth and nose after death ? - Straight Dope Message Board
 
Kule kwetu ni direct marehemu kalogwa hakuna vya blood circulation wala nini, by the way kwa nini itokee kwa baadhi ya marehemu na wengine isitokee ina maana hao ambao haitokei wanakuwa hawana hiyo blood circulation. NI UCHAWI NDUG MTOA MAADA MAREHEMU KALOGWA.UNAPOONA MAREHEMU ANATOKWA NA JASHO AMAN DAMU MASKIONI NA PUANI BASI NI UCHAWI
 
Hata na sisi huku kwetu Nyakanazi na maeneo yote ya Bwanga maiti ikiwa na jasho ama inatokwa na damu mdomoni ama maskioni lazima mchawi atafutwe. But kwa sisi tunaoamini katika Kristu hatuyajui mambo ya uchawi maana tunashinda na zaidi ya kushinda katika yeye atutiae nguvu
 
Katika vitu ambavyo mchawi anapata wakati mgumu sana,ni pale ambapo marehemu yule aliyechukuliwa msukule anapowekwa nyuma ya mlango huwa anashuhudia kila kitu kinachoendelea mule ndani ie kipindi watu wamejazana na wengine wanalia,yule msukule huwa anamuuliza yule mchawi ni kwann watu wamejaa na wanalia,huwa ni wakati mgumu sana anaupata kujibu haya maswali toka kwa msukule...inaaminika ukikosea kujibu huwa yule jamaa nyuma ya mlango anaweza kutoka kabla ya kuzikwa(mgomba), na wakati mgumu ni pale mait#msukule unapotoa damu ama jasho,huwa ni inshu sana kama wana mkiamua kufuatilia...Inasemekana ukishaona dalili ya mtu kuchukuliwa msukule..labda anaumwa ghafla..kama unajua kabisa mtu flan ndo anataka kusababisha kifo,we mwache mgonjwa kwa haraka sana na mtafute huyo mbaya wake,ukiwah kumuona na mgojwa wako atawah kupona..kwani utawahi kuzikata zile sala au maneno anayoyasema wakati msukule unaendelea kuumwa..kuna masimulizi mengi kuhusu hz imani anyway.
 
Katika vitu ambavyo mchawi anapata wakati mgumu sana,ni pale ambapo marehemu yule aliyechukuliwa msukule anapowekwa nyuma ya mlango huwa anashuhudia kila kitu kinachoendelea mule ndani ie kipindi watu wamejazana na wengine wanalia,yule msukule huwa anamuuliza yule mchawi ni kwann watu wamejaa na wanalia,huwa ni wakati mgumu sana anaupata kujibu haya maswali toka kwa msukule...inaaminika ukikosea kujibu huwa yule jamaa nyuma ya mlango anaweza kutoka kabla ya kuzikwa(mgomba), na wakati mgumu ni pale mait#msukule unapotoa damu ama jasho,huwa ni inshu sana kama wana mkiamua kufuatilia...Inasemekana ukishaona dalili ya mtu kuchukuliwa msukule..labda anaumwa ghafla..kama unajua kabisa mtu flan ndo anataka kusababisha kifo,we mwache mgonjwa kwa haraka sana na mtafute huyo mbaya wake,ukiwah kumuona na mgojwa wako atawah kupona..kwani utawahi kuzikata zile sala au maneno anayoyasema wakati msukule unaendelea kuumwa..kuna masimulizi mengi kuhusu hz imani anyway.

yaani mkuu ulivyosimulia na hii avatar yako vimenifanya nikuogope ile mbaya dah! badili avatar mkuu.
 
Kule kwetu ni direct marehemu kalogwa hakuna vya blood circulation wala nini, by the way kwa nini itokee kwa baadhi ya marehemu na wengine isitokee ina maana hao ambao haitokei wanakuwa hawana hiyo blood circulation. NI UCHAWI NDUG MTOA MAADA MAREHEMU KALOGWA.UNAPOONA MAREHEMU ANATOKWA NA JASHO AMAN DAMU MASKIONI NA PUANI BASI NI UCHAWI

Ujinga ndo huu...
 
Katika vitu ambavyo mchawi anapata wakati mgumu sana,ni pale ambapo marehemu yule aliyechukuliwa msukule anapowekwa nyuma ya mlango huwa anashuhudia kila kitu kinachoendelea mule ndani ie kipindi watu wamejazana na wengine wanalia,yule msukule huwa anamuuliza yule mchawi ni kwann watu wamejaa na wanalia,huwa ni wakati mgumu sana anaupata kujibu haya maswali toka kwa msukule...inaaminika ukikosea kujibu huwa yule jamaa nyuma ya mlango anaweza kutoka kabla ya kuzikwa(mgomba), na wakati mgumu ni pale mait#msukule unapotoa damu ama jasho,huwa ni inshu sana kama wana mkiamua kufuatilia...Inasemekana ukishaona dalili ya mtu kuchukuliwa msukule..labda anaumwa ghafla..kama unajua kabisa mtu flan ndo anataka kusababisha kifo,we mwache mgonjwa kwa haraka sana na mtafute huyo mbaya wake,ukiwah kumuona na mgojwa wako atawah kupona..kwani utawahi kuzikata zile sala au maneno anayoyasema wakati msukule unaendelea kuumwa..kuna masimulizi mengi kuhusu hz imani anyway.
hivi jamani,kuna mtu aliekufa kwa kusingiziwa kachukuliwa msukule alishawahi kufufuka?na ni story tu
 
Mtu aliye hai chembehai zake na mifumo iliyopo mwilini ina uwezo wa kuwezesha damu na maji yaliyo mwilini kuwa mahali palipolengwa. Mara anapofariki, chembehai nazo zinakufa na kuanza process ya autolysis, hivyo kupoteza uwezo wa kuzuia majimaji ndani ya chembehai na mufumo inayohifadhi damu na maji mwilini. Hivyo damu na maji vianaanza kutiririka na kutokea kwenye matundu mbalimbali ya mwili. Harufu mbaya ya damu ni kwa sababu ya uoozo unaosababishwa na bacteria wanapoanza kushambulia mwili.
 
Mimi nilidhani inakuwa ni ile high blood presure inayopelekea mishipa kukatika hovyo na ndio maana kunakuwa na bleeding kutoka sehem zenye mishipa miepesi!
 
Katika vitu ambavyo mchawi anapata wakati mgumu sana,ni pale ambapo marehemu yule aliyechukuliwa msukule anapowekwa nyuma ya mlango huwa anashuhudia kila kitu kinachoendelea mule ndani ie kipindi watu wamejazana na wengine wanalia,yule msukule huwa anamuuliza yule mchawi ni kwann watu wamejaa na wanalia,huwa ni wakati mgumu sana anaupata kujibu haya maswali toka kwa msukule...inaaminika ukikosea kujibu huwa yule jamaa nyuma ya mlango anaweza kutoka kabla ya kuzikwa(mgomba), na wakati mgumu ni pale mait#msukule unapotoa damu ama jasho,huwa ni inshu sana kama wana mkiamua kufuatilia...Inasemekana ukishaona dalili ya mtu kuchukuliwa msukule..labda anaumwa ghafla..kama unajua kabisa mtu flan ndo anataka kusababisha kifo,we mwache mgonjwa kwa haraka sana na mtafute huyo mbaya wake,ukiwah kumuona na mgojwa wako atawah kupona..kwani utawahi kuzikata zile sala au maneno anayoyasema wakati msukule unaendelea kuumwa..kuna masimulizi mengi kuhusu hz imani anyway.
duh!ama kweli we mzizi makavu
 
Wakuu,namshukuru kila mtu kwa ushauri.Watu wamesema mengi msibani;kuwa chanzo cha kifo ni mambo ya kishirikina au uchawi;maana mgonjwa kabla kufariki alipandisha mashetani na kusema mengi wakati anafanyiwa maombi na walokole!
 
Wakuu,namshukuru kila mtu kwa ushauri.Watu wamesema mengi msibani;kuwa chanzo cha kifo ni mambo ya kishirikina au uchawi;maana mgonjwa kabla kufariki alipandisha mashetani na kusema mengi wakati anafanyiwa maombi na walokole!

Wakuu,uzi huu,naomba uendelee kwa faida zaidi; kwangu na watu wengine !:welcome:
 
Kibongo bongo wanasema uchawi at work. Kule kwetu wanasisitiza zaidi kuwa katumiwa jini anaiywa LYANG'OMBE
 
Back
Top Bottom