Msaada: Nini suluhisho la simu kupata moto sana, yaani iko overheated sana

Msaada: Nini suluhisho la simu kupata moto sana, yaani iko overheated sana

Kunguru wa Unguja

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2021
Posts
1,762
Reaction score
1,823
Wakuu habari za muda huu natumai mko poa na weekend ilienda vizuri na kwa wale ambao weekend imeenda ndivyo sivyo tuendelee kupambana na kuzidi kumwomba Mungu katika changamoto tunazopitia

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, naombeni msaada ni nini suluhisho la simu kuwa very overheated wa matumizi, maana kuna ndugu anatumia Infinix smart 7 plus na analalamika simu inapata moto sanaaa sielewi shida iko wapi please and please naombeni msaada wadau.
 
Wakuu habari za muda huu natumai mko poa na weekend ilienda vizuri na kwa wale ambao weekend imeenda ndivyo sivyo tuendelee kupambana na kuzidi kumwomba Mungu katika changamoto tunazopitia
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ,naombeni msaada ni nini suluhisho la simu kuwa very overheated wa matumizi ,maana kuna ndugu anatumia Infinix smart 7 plus na analalamika simu inapata moto sanaaa sielewi shida iko wapi please and please naombeni msaada wadau
anaicool down tu inakua imepoa kabisa....

akiwa anachoma mkaa aiweke kwenye begi kule kando, sio kwenye mfuko wa suruali hiyo ni sababu ya kua overheated
 
Wakuu habari za muda huu natumai mko poa na weekend ilienda vizuri na kwa wale ambao weekend imeenda ndivyo sivyo tuendelee kupambana na kuzidi kumwomba Mungu katika changamoto tunazopitia
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ,naombeni msaada ni nini suluhisho la simu kuwa very overheated wa matumizi ,maana kuna ndugu anatumia Infinix smart 7 plus na analalamika simu inapata moto sanaaa sielewi shida iko wapi please and please naombeni msaada wadau
Na shida hii ya umeme wa dusko dusko, nakushauri itumie hiyo simu kupigia pasi nguo
 
Back
Top Bottom