Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
- Thread starter
- #21
wapo wengi wakuuFundi Maiko hata kwenye Simu kumbe yupo ๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapo wengi wakuuFundi Maiko hata kwenye Simu kumbe yupo ๐๐๐
haha hatariiiUmeme
Bandari
Mwendokasi
Katiba
Wanazingua sana hawa masela
Ahahahhhaah hapana mkuu...hahah mkuu na wew unaunga mkono
nashukuru mkuu ntalifanyia kaziCheki kwanza kama ume install app recently nayo inafanya yake kwa simu.. angalia pia kwa settings app zinafanyaje kazi kuwa on kwa background.. hizo nazo balaa.. machache hayo ya kucheki kabla hujakimbilia kwa fundi..
Kimsingi fuata yale maoni ya kupeleka kwa fundi kabla haijalipukia mfukoni na kusambaratisha vimkoba vyako vya mbeguhaha hatariii
sawa mkuuKimsingi fuata yale maoni ya kupeleka kwa fundi kabla haijalipukia mfukoni na kusambaratisha vimkoba vyako vya mbegu
Kwenye simu kuna 'AC'Ndio mkuu
IC mkuuKwenye simu kuna 'AC'
Mkuu umeacha udaktari umehamia kwenye uganga wa kienyeji.Weka maji kwenye Freezer, yawe yabaridi sanaaaaa.
Kisha dumbukiza simu Kwa kuochovya Mara Saba huku ukitamka Maneno haya "Kuanzia Leo simu yangu usichemke ".
Utanishukuru
Cpu yake imekuwa manufactured kwa 28nm so ni likely ku overheat, pia ni Mchina Unisoc.Wakuu habari za muda huu natumai mko poa na weekend ilienda vizuri na kwa wale ambao weekend imeenda ndivyo sivyo tuendelee kupambana na kuzidi kumwomba Mungu katika changamoto tunazopitia
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, naombeni msaada ni nini suluhisho la simu kuwa very overheated wa matumizi, maana kuna ndugu anatumia Infinix smart 7 plus na analalamika simu inapata moto sanaaa sielewi shida iko wapi please and please naombeni msaada wadau.
Sawa mkuu then baadae cha kufanya ni kipi mkuuCpu yake imekuwa manufactured kwa 28nm so ni likely ku overheat, pia ni Mchina Unisoc.
Anaweza akapima hilo joto Exactly ni kiasi gani?
Aingie playstore kisha download app ya cpu-z kisha aende kwenye thermal kuangalia ni joto kiasi gani
= icunamaanisha AC ina shida
Mkuu sasa shida ni manufacture au simu Kwa ujumla ni kimeo?Hamna simu hapo kimeo
Simu kwa ujumlaMkuu sasa shida ni manufacture au simu Kwa ujumla ni kimeo?