Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
uwanja wa fisiDah kweli kuwa karibu na mahakama siyo kujua sheria ni zaidi ya miaka sita nipo Dar es salaam ila sijawai fika sehemu hizi
1:daraja la Mwl Nyerere aka kigamboni
2:sijawai panda basi la Mwendo kasi
3:Coco beach
4:Uwanja wa Fisi
je nawe sehemu gani unatamani kufika ndani ya Dar es salaam
Wewe ubongo wako unawaza pesa,taja utanizungusha kwa kiasi gani?bajeti yako sh ngapi nikuzungushe ukaone
MazeseDah kweli kuwa karibu na mahakama siyo kujua sheria ni zaidi ya miaka sita nipo Dar es salaam ila sijawai fika sehemu hizi
1:daraja la Mwl Nyerere aka kigamboni
2:sijawai panda basi la Mwendo kasi
3:Coco beach
4:Uwanja wa Fisi
je nawe sehemu gani unatamani kufika ndani ya Dar es salaam
Mhhh.......Mie sijawahi na sitawahi kufika ufipa
laki tano kwa siku moja i mean masaa kumi na mbili, maji na korosho na nunua mimi.. kama unakunywa pombea nanunua mizinga miwili ya konyagi.. nitanunua kuku nitamchomea nyumbani nakuja naye ...Wewe ubongo wako unawaza pesa,taja utanizungusha kwa kiasi gani?
budget uchumi umeyumbabajeti yako sh ngapi nikuzungushe ukaone
siyo kwa wotebudget uchumi umeyumba
kwa madeeMazese
Ninaomba kuwa mhudumu wenu mnapoamua kupata chakula.bajeti yako sh ngapi nikuzungushe ukaone
kwetu sisi wapiga dilisiyo kwa wote
Hee kwani ufipa hujui ipo Kinondoni ? Huyo ni mwana lumumba ndio maana kasema hivyoMhhh.......
Kuelewa kazi kweli......ivi umeulizwa ufipa au maeneo ya dar?