Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
Dah kweli kuwa karibu na mahakama siyo kujua sheria ni zaidi ya miaka sita nipo Dar es salaam ila sijawai fika sehemu hizi
1:daraja la Mwl Nyerere aka kigamboni
2:sijawai panda basi la Mwendo kasi
3:Coco beach
4:Uwanja wa Fisi
je nawe sehemu gani unatamani kufika ndani ya Dar es salaam
1:daraja la Mwl Nyerere aka kigamboni
2:sijawai panda basi la Mwendo kasi
3:Coco beach
4:Uwanja wa Fisi
je nawe sehemu gani unatamani kufika ndani ya Dar es salaam