Kuongezeka hamu ya kufanya mapenzi ujue kitu na box on fleekWapi hapo nilipokulenga mkuu?
Mbiti nieleweshe vizuri bana shogaapostonor 2
Asante shost!hupati hata kidg lakini umeze ndan ya masaa72!
Asante shost!
Kuna mdau kasema ukifululiza unapata madhara?
Matatizo gani mkuu....fafanua kama hutojaliBefore marriage tulikua tunatumia zile dawa Morning After, au zinaitwa P2 kama sijakosea, aiseeee hizi dawa ni mbaya sana, zilileta matatzo makubwa sana, tangu siku hiyo nilishasema ni marufuku kutumia hizi dawa za uzazi wa mpango. Nitakua na withdraw tu....
Nadhani siku za hatari kwa mkewe ni siku akimfumania kwamba ana mchepuko pembeni! Itakuwa hatari si kwake tu bali hata kwa mchepuko na mazingira walimokutwa kwa ujumla!Akuambie siku anayoanza na siku ya hatari ni ya 14 kutoka siku hiyo
Mbiti nieleweshe vizuri bana shogaa
Matatizo gani mkuu....fafanua kama hutojali
Unafululiza?sijajua haswa ! mie nipo poa tu !
Oohooo so PEP ndo hiyo hiyo Postonor 2ndo hizi za kunyhwa after 72 hrs ukiwa umesex siku za hatar !
Mungu wangu![emoji86] [emoji86] [emoji86]Matatizo mengi sana, moja ni kuvuruguka kwa period, baada ya gegedo ukitoa msumari, unatoka na damu, unbalanced hormone, hadi tukaenda Regency kuonana na Dr mmoja hivi, ni Dr bingwa magonjwa ya kina Mama, Before ya vipimo aliuliza mnatumia dawa zakuzuia mimba? Tukasema ndio, akauliza dawa gani, tukajibu P2, alisema sio nzuri, hizo hua zinaunguza mayai....
Au my calendar,Muambie aingie playstore a-download Lady timer Calendar, then ataweka tarehe za nyuma alizoingia period yake.
Akifuatisha hiyo itakua msaada mkubwa sana kwake hata kama siku zake zinavurugika
Yaani haiongopi inasaidia hata kuchagua jinsia ya mtoto ili mradi tu information ziwe sahihiAu my calendar,
Mm natumia hio na mke wangu haija wahi niangusha
Moja ya kazi zake ni
1. kukuambia period ijayo.
2.kukupa ovulation day
3.chances of getting pregnant (low, medium and high)
Na mengine meengi...hutojutia Cha msingi tumbukiza taarifa za awali kwa usahihi kwa asilimia Mia ili isikudanganye majibu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mpeleke Madale halafu shetani atokee, utapata majibu.
Hebu niambieni, unaisetije?, manake nishaidowlod kila nikiingia inanionyesha tarehe tu ya siku husikaAu my calendar,
Mm natumia hio na mke wangu haija wahi niangusha
Moja ya kazi zake ni
1. kukuambia period ijayo.
2.kukupa ovulation day
3.chances of getting pregnant (low, medium and high)
Na mengine meengi...hutojutia Cha msingi tumbukiza taarifa za awali kwa usahihi kwa asilimia Mia ili isikudanganye majibu.