M MLENGO R Member Joined Oct 26, 2019 Posts 9 Reaction score 3 Oct 27, 2019 #1 Nitumie mbolea ya aina gani katika ardhi ya kichanga?
Herbert Nkuluzi JF-Expert Member Joined Aug 10, 2015 Posts 2,592 Reaction score 2,629 Oct 27, 2019 #2 Mbolea haibagui ardhi
MKAKA HALISI JF-Expert Member Joined Dec 5, 2018 Posts 631 Reaction score 1,263 Oct 28, 2019 #3 Tumia samadi
Gidbang JF-Expert Member Joined Jun 1, 2014 Posts 4,482 Reaction score 3,999 Oct 28, 2019 #4 MLENGO R said: Nitumie mbolea ya aina gani katika ardhi ya kichanga? Click to expand... Nenda malembo farm japo samadi ndo jibu
MLENGO R said: Nitumie mbolea ya aina gani katika ardhi ya kichanga? Click to expand... Nenda malembo farm japo samadi ndo jibu
M MLENGO R Member Joined Oct 26, 2019 Posts 9 Reaction score 3 Nov 1, 2019 Thread starter #5 Gidbang said: Nenda malembo farm japo samadi ndo jibu Click to expand... Thanks
NostradamusEstrademe JF-Expert Member Joined Jul 1, 2017 Posts 3,402 Reaction score 4,532 Nov 2, 2019 #6 Kwangu ni mchanga mtupu nikabahatika kuwa na mifugo nikawa natupa shambani nikilima nafukia chini mchanga umekuwa mweusi amini usamini mazao yanayoota ni kijani kilichokolea kikubwa kuwe na availability ya maji
Kwangu ni mchanga mtupu nikabahatika kuwa na mifugo nikawa natupa shambani nikilima nafukia chini mchanga umekuwa mweusi amini usamini mazao yanayoota ni kijani kilichokolea kikubwa kuwe na availability ya maji