Msaada: Njia salama ya kutuma mizigo kutoka nje ya bara

Msaada: Njia salama ya kutuma mizigo kutoka nje ya bara

Damy Scotty

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
717
Reaction score
454
Habari wakuu,

Kama kichwa kinavyojieleza nataka kutumiwa mzigo kutoka sweeden! Tulitaka kutumia DHL ila inasemekana hawa jamaa branch ya bongo siyo waaminifu so, tumekua scared kufanya nao hyo transfer..lakin tulivyokosa kampuni nyingne ikabidi jamaa ajaribu tu kuwapigia ili aongee nao lakin toka jana hawapokei.
So, naomba kama kuna anaejua kampuni nyingine aminifu na ya uhakika anisaidie tafadhali.

Natanguliza shukrani[emoji120]
 
Back
Top Bottom