Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Mkuu hao watoa huduma ni kina nani kwa mfano?watoa huduma ya email-to-SMS huwa wanakupa config setup, unazipachika upande wa Email Settings > Forwarding
email zako zikiingia zinaenda moja kwa moja kwenye database servers za hao jamaa, kisha wao wana hardware ya kuitwa SMS Gateway ambayo inasoma izo jumbe kwenye database, kisha kutuma kwenye namba ya simu uliyoweka wakati unajisajili
so wanakuwa na wanakuchaji per SMS
Na hapa ndipo siri zinaweza kuvujaemail zako zikiingia zinaenda moja kwa moja kwenye database servers za hao jamaa, kisha wao wana hardware ya kuitwa SMS Gateway ambayo inasoma izo jumbe kwenye database, kisha kutuma kwenye namba ya simu uliyoweka wakati unajisajili
Bila shaka kutakuwa na Option ya ku filter, zipi nifowad na zipi niache?Na hapa ndipo siri zinaweza kuvuja
ni online based 3rd party providers kunaMkuu hao watoa huduma ni kina nani kwa mfano?
Ama ni hawahawa Airtel n.k
Ni pm. Una shing gapi?Habari wakuu:
Kichwa cha thread kinajieleza naomba mnisaidie njia ya kufoward email zangu zikiingia tu kasha la kupokelea zije moja kwa moja kwenye inbox ya kawaida kama SMS.
Nimegoogle nikakutana na msamiati "SMS gateway domain" hapo nikashindwa.
Mnisaidie kupata hiyo njia na maelezo ya huo msamiati.
Asanteni.
Oa weweeni online based 3rd party providers kuna
hawa na wengineo kibao
ina kama ni kwa matumizi makubwa, unanunua server: VPS, na hiyo SMS gateway(zipo zinauzwa za uwezo tofauti)
unatafuta developer anakusetia mambo
🤣 🤣 🤣 ili iweje ?Oa wewee
Sh ngapi, Kwa ajili ya nini?Ni pm. Una shing gapi?
Hana hata thumni.Ni pm. Una shing gapi?
Kuoa sio kipaumbele.Oa wewee
Gharama utakazopewa bila shaka utaghairi.Habari wakuu:
Kichwa cha thread kinajieleza naomba mnisaidie njia ya kufoward email zangu zikiingia tu kasha la kupokelea zije moja kwa moja kwenye inbox ya kawaida kama SMS.
Nimegoogle nikakutana na msamiati "SMS gateway domain" hapo nikashindwa.
Mnisaidie kupata hiyo njia na maelezo ya huo msamiati.
Asanteni.