Msaada, Nkana FC huwa wanavaa jezi gani ugenini?

Lazima na yenyewe ipate mashabiki bana. Wale wanaotaka kutupangia timu za kushangilia watuache wao wakishangilia Mikia wanatosha. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wanaitwa Nkana Red Devils wale(Mashetani Wekundu wa Nkana), kwa hiyo na weye utavaa na kushangilia rangi nyekundu kesho eeh?😳😳😳
 

Ha ha ha ha ha ha nadhani watavaa hiyo ya Mbeya City au hyo ya mwisho kulia
 

Attachments

  • fb_img_1520128710613.jpg
    38.2 KB · Views: 23
Ila huyu jamaa kwa kiwango alichoonyesha kule Zambia kama hakuamka vizuri tu siku ile basi ataweza kuwa homa ya jiji hapo kesho. Kwa mabeki wenyewe kina Wawa na Murshid!!!!
 
Hapana sivai nguo nyekundu mie. 😎
Sasa ushabiki gani huo wee Shadeeya ? Ukipenda boga penda na ua lake

Nyie mnaji nasibisha kwa hao Nkana halafu leo hii tunawaambia mvae rangi nyekundu mnaruka futi mia

Ina maana urafiki wenu ni wamashaka eeh? Tafuteni basi hata bendera nyekundu na nyeupe kama hamuwezi kuvaa jezi zenye rangi yaoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Alikomolewa Simba ndiyo akaja Yanga hadi Nkana wamemwona mali.[/QUOTE]
Kwani alisajiliwa na Nkana akitokea Simba?Usitake kuhamisha magoli.Kwanini mlimtendea vile halafu leo mnavunga marafiki kwake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…