Msaada, Nkana FC huwa wanavaa jezi gani ugenini?

Alikomolewa Simba ndiyo akaja Yanga hadi Nkana wamemwona mali.
Kwani alisajiliwa na Nkana akitokea Simba?Usitake kuhamisha magoli.Kwanini mlimtendea vile halafu leo mnavunga marafiki kwake?[/QUOTE]
Timu ya mwisho kabla ya Nkana ni Yanga. Hili ndiyo la msingi.
 
Mimi sio mpenzi wa Yanga wala simba kwa ujumla mpira wa TZ ni mmbovu ila kwa kesho Simba ndio mshindi. Mwenye neno atalisema saa1 ucku kesho.
 
Ww nguo zako za kijani Au njano sisi tukikuona jukwaani tutajua Ww ni nan..
Kama Huna jezi ya njano/kijani vaa hata shati la chama chako pendwa..
 
Hahahahaaaa asee we jamaa unachelesha sana
 
Kesho kama wewe yanga na unaisapoti Nkana piga jezi nyeupe, ni ya ugenini kama ya SIMBA, au piga nyekundu kabisa. Ndio rangi yao kama SIMBA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…