Habari zanu ndugu Wanaspot wa JF!
Naombeni msaada kwa mwenye kujua sababu ya kukataliwa kwa goli la Arsenal dhidi ya Crystal Palace jana kwenye mchezo wa EPL lililofungwa na beki Sokratis
Nimeangalia marudio ya hiyo lakini bado sijajua sababu ya kukataliwa kwa goli lile. Hebu mwenye kujua atoe msaada
Naombeni msaada kwa mwenye kujua sababu ya kukataliwa kwa goli la Arsenal dhidi ya Crystal Palace jana kwenye mchezo wa EPL lililofungwa na beki Sokratis
Nimeangalia marudio ya hiyo lakini bado sijajua sababu ya kukataliwa kwa goli lile. Hebu mwenye kujua atoe msaada