Fundi anayenijengea Nyumba Anaitwa Athumani ngoja nimfute Kazi.Wakijenga kampuni ya kueleweka ambayo mafundi walienda shule haitavuja kamwe/milele.Kuvuja ni kwa mafundi vishoka hawa akina fundi Athumani.
🤣🤣🤣Fundi anayenijengea Nyumba Anaitwa Athumani ngoja nimfute Kazi.
Ni kweli lakini kwa africa zilaanzia msumbiji na zikaenea maeneo mengine kama vile tz!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Europe kuiga Msumbiji!
Shangaa asee [emoji848][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Europe kuiga Msumbiji!
njoo pm mkuuMkuu nitafutie huyu fungi.
Ukute aliyejenga hapo ni engineer tena mwenye master😜! Utajiteteaje bwashe😂!Kuna sababu kwann injinia wa ujenzi anatumia miaka minne chuoni mpaka kuitwa injinia
Na kuna sababu kwann architect anatumia miaka mitano chuoni mpaka anapata degree...
Mkiambiwa mtumie wataalamu mnajidai wabishi.
Sasa gharama ya kuziba hiyo mivujo ndio gharama ungemlipa injinia kabla hujaanza ujenzi.
Sio "temporary" ni "contemporary".
Mleta mada, aina hii ya roofing inafaa kwa sehemu zisizo na mvua nyingi. Roof yake inakua na slope ndogo, inayoweza kuvuja kama mvua zikiwa nyingi sana na hatua za water proofing hazikufanyika kwa usahihi.
Tafuta fundi mzoefu au mtaalam wa ujenzi. Atakagua hizo sehemu zinazovuja, then atakushauri nini kifanyike!
Ukiweka zege nyumba inakua na joto kali sama lisilo la kawaida haswa mchana pia jioni giza likiingia ukiwasha feni lile joto la juu ya zege linashuka chini unalisikia live kabisa..Ila natamani kujua, hizi nyumba inawezekana juu badala ya bati nikaweka Zege?
Acha kudanganya watu haijanzia msumbiji na hata Hali ya hewa unayoizungumzia sio kweli .Msumbiji iko ukanda mmoja na mikoa ya mtwara Lindi na ruvuma na kwa upande wa Msumbiji ni mikoa ya cape Delgado Hadi Beira eneo hili Lina mvua nyingi sana hasa kuanzia Mwez Nov Hadi April ,so tatizo mvua tatizo mafundi wetu bado aina hii majengo ni ngeni kwao .Asili ya nyumba hizi ni kutoka msumbiji na ndio maana zikaitwa msumbini style, kwa kifupi tu hali ya hewa ya msumbiji kwa mwaka upokea mvua za wastani tena hunyesha kwa vipindi ndani ya msimu hivyo basi kwa mfumo wa nyumba hizi kwa maeneo kama hayo yenye mvua chache huwa hazina shuda sana ya kuvuja.
Kinachotuponza sisi wabongo ninkupenda vya nafuu na hii nikutokana uchache wa bati na mbao zinazotumika katika kujenga nyumba hizo ili hali kwa nature ya mvua za Tanzania ni majanga kwa nyumba hizi.
Kwani haziwezi kuhimili kiwango cha maji mengi kitokana na ufinyu wa slope yake na na jinsi zinavyojengwa kwa aina ya mtindo wake wa kupenyeza bati kwenye ukuta.
Pole kwa hiyo changamoto,Nilikuwa nazipenda sana nyumba za aina hii hadi nilipojionea kwa ndugu yangu.
Nyumba imeezekwa lakini inavunja sana Pembeni mwa mabati.
Afanyeje ili isivuje?
N.B: Pembeni ukuta umechimbwa ili kuingiza bati na kuzibwa kwa cement ya water proof.
Mimi nilitaka kujenga hivyo ila nikapata washauri wakaniambia niachane nazo, nyumba nyingi zinasumbua kuvuja au kulowesha ukutaMambo ya kufata Mkumbo! Dodoma wanalia sana walojenga contemporary!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
ExactlyKuna sababu kwann injinia wa ujenzi anatumia miaka minne chuoni mpaka kuitwa injinia
Na kuna sababu kwann architect anatumia miaka mitano chuoni mpaka anapata degree...
Mkiambiwa mtumie wataalamu mnajidai wabishi.
Sasa gharama ya kuziba hiyo mivujo ndio gharama ungemlipa injinia kabla hujaanza ujenzi.
Misikiti ni upauaji wa slope, maji yanamwagika nje moja kwa mojaMbona misikiti haivuji na design ni ileile. Wakajifunze misikitini.
Na hapa ndipo hoja kuu ilipo. Ujenzi wa nyumba hizi ukizingatia taratibu ni very expensive, Kwanza hata ile ya zege, inapaswa kuweka kwa ratio kali sana na vipimo maalum inayozuia hata tone moja la maji kupenya kwenye hiyo zege, sasa watu wanaweka zege ratio ya kawaida kisha wanapiga eti plasta ratio kali!! Hapo tu washafeli! Ujenzi wa lile gata la zege unaweza gharimu fedha sawa na gharama ya kuinua nyumba kutoka kwenye msingi hadi kwenye lenta kama likijengwa inavyotakiwa.ujenzi wa hizi nyumba umeingiliwa .mafundi wengi wanaojenga hawafuati kanuni za ujenzi wa nyumba hizi. wengi wameparamia wakidhani zina unafuu. lakini kiukweli km umefuata Masharti yake ya ujenzi hizi nyumba ni ghali kidogo kuliko hizi nyumba za kawaida.