Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WanaJF, napenda kujuzwa iwapo nyumba imeuzwa
1. Kama ikiuzwa bei kubwa kuliko kiwango cha mkopo, kile kiasi kilichoongezeka unapewa mwenyewe?
2.Iwapo itauzwa chini ya Kiwango cha mkopo je bado unatakiwa kumalizia kiasi kilichosalia?
mkuu hayo ndio majibu yake kabisa.... ikiuzwa zaid ya deni lako unaingiziwa kwenye akaunt zilizozidi