Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,592
- 2,381
Kwa kwel magari ya Dar...missMagari ya Dar hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kwel magari ya Dar...missMagari ya Dar hayo
kuna watu mna akili mbovu sana dah!😀😀😀Itakua Passo ya dar iyo[emoji41]
Mkuu jichange ukanunue gari,hizi bajaj qute,bajaj passo ugonjwa wa moyo tu,narudia tena jichange nunua gari.Wakuu passo yangu ni four wheel drive tangu last month imekuwa na nguvu ndogo, yaani unakanyaga mafuta bado inakuwa inatembea polepole sana. Mlimani ndio kabisaa inataka hata kusimama. Kama kuna mafundi humu au wazoefu nisaidieni jamani tatizo litakuwa ni nini?
Ulivyokinanga hicho kigari, kama angekuwa mtoto angekufa!kacheki uchomaji wa mafta au kaifanyie diagnosis mkuu huenda oxygen sensor imekufa.
Service ya passo ni ghali na hivi vigari vina vipuri ghali sana na engine zake za ovyo nashangaa suzuki carry na engine ndogo ya cc660 na three pistons kinabeba mzigo na kinapiga kazi bila shida lakini passo yenye engine ndo ni cc990 lakini ovyo kabisa niliknunuaga cha piston tatu kwanza engine ina vibrate ukiwa umesimama mpaka bodi unaskia ina vibration halafu hakina nguvu unakanyaga mafta kwa gafla kinasubiri sekunde kadhaa ndo kinaongeza mwendo vigari vya ovyo kweli...
clutch plateKama ni automatic inaweza kuwa Torque Converter, kama ni manual inatakua Clutch.
Hahahaha mkuu ni ukweli kabisa sema kizuri kwa kula misele ya twn kama huna haraka na unaenjoy kuliko aliyeko kwenye bodaboda, bajaj au dalala na ac juu ukiwasha ac unaskia kabisa ina consume nguvu ya engineUlivyokinanga hicho kigari, kama angekuwa mtoto angekufa!