Msaada Passo yangu haina nguvu kabisa tatizo ni nini?

Msaada Passo yangu haina nguvu kabisa tatizo ni nini?

Kati ya gari zilizonitesa mojawapo ni hii aiseh nakumbuka nililunua vits ya 2005 mpya kutoka japan ikiwa na engine cc 990 IKR nilipoanza kuitumia kila mtu alinikatisha tamaa kwa sababu ya piston tatu! Niliuza kwa hasara sana nimeamua nijichange ninunua IST ila ya cc 1490 note usinunue gari chini ya cc 1280 imekula kwako
 
Badilisha spark plugs. Itarejea ktk hali yake ya awali
 
Wakuu passo yangu ni four wheel drive tangu last month imekuwa na nguvu ndogo, yaani unakanyaga mafuta bado inakuwa inatembea polepole sana. Mlimani ndio kabisaa inataka hata kusimama. Kama kuna mafundi humu au wazoefu nisaidieni jamani tatizo litakuwa ni nini?
Mkuu jichange ukanunue gari,hizi bajaj qute,bajaj passo ugonjwa wa moyo tu,narudia tena jichange nunua gari.
 
kacheki uchomaji wa mafta au kaifanyie diagnosis mkuu huenda oxygen sensor imekufa.
Service ya passo ni ghali na hivi vigari vina vipuri ghali sana na engine zake za ovyo nashangaa suzuki carry na engine ndogo ya cc660 na three pistons kinabeba mzigo na kinapiga kazi bila shida lakini passo yenye engine ndo ni cc990 lakini ovyo kabisa niliknunuaga cha piston tatu kwanza engine ina vibrate ukiwa umesimama mpaka bodi unaskia ina vibration halafu hakina nguvu unakanyaga mafta kwa gafla kinasubiri sekunde kadhaa ndo kinaongeza mwendo vigari vya ovyo kweli...
Ulivyokinanga hicho kigari, kama angekuwa mtoto angekufa!
 
Ulivyokinanga hicho kigari, kama angekuwa mtoto angekufa!
Hahahaha mkuu ni ukweli kabisa sema kizuri kwa kula misele ya twn kama huna haraka na unaenjoy kuliko aliyeko kwenye bodaboda, bajaj au dalala na ac juu ukiwasha ac unaskia kabisa ina consume nguvu ya engine
 
Back
Top Bottom