February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
Mkuu hizo Mb ni leo tu, tena ndani ya nusu saa...hiyo imeangalia ndani ya hizo siku lakini mimi sijawahi kuiunga na internet mwezi huu wote.Mkuu mb 411 kwa siku 12 mbona kama kawaida tu.
Unaweza ukaweka firewall kitu chochote kisiingie internet bila ruhusa yako
Aah okay, ngoja niicheki si ipo Microsoft store au mpaka google?Kuna program inaitwa GlassWire iko vizuri kwenye kutambua nini kinatumia
1. Nenda sehemu ya SEARCH andika SERVICESBeijing!
Bonjour wakuu, PC yangu inakula sana data kwa vitu visivyoeleweka.
Nimeweka connection kuwa metered
Nimestop background applications
Nimestop google updates (ilikuwa ishakula mb95)
Nimeweka data limit
Nimezuia system updates mpaka January huko
Lakini bado kila mkitumia nakuta Mb kibao zimeenda nikiangalia nini kimekula naambiwa ni system
Hii hapa screenshot baada ya kuanza kumonitor data usage kwa nusu saa
View attachment 2446444
Mkuu mbona sioni io run as administrator1. Nenda sehemu ya SEARCH andika SERVICES
2, Ikifunfuka tu chagua RUN AS ADMINSTRATOR
3. Ikifunguka tu, chuka chini kabisa utaona list imeandikwa WINDOW UPDATE
4. Bonyeza hapo kisha kuna kuna sehemu utaona pameandikwa MANUAL ingia hapo kwa kubonyeza OK
5. Chagua DISABLE, kisha bonyeza APPLY kisha OK
#RudiNyumbaniKumenoga
Soma upya mzeeMkuu mbona sioni io run as administratorView attachment 2446713
Mkuu nmeingia hapo nmekuta status tayariSoma upya mzee
Shuka chini utaona WINDOW UPDATEMkuu mbona sioni io run as administratorView attachment 2446713
Glasswire.com. Kama ni windows update kuna software nyingine ya kuzima updates GitHub - WereDev/Wu10Man: Enable/Disable Windows 10 Automatic Updates (Scroll chini kabisa) maana Microsoft siku hizi wameondoa uwezo wa kuzima updates na ukizima services zinajiwasha.Aah okay, ngoja niicheki si ipo Microsoft store au mpaka google?
Mimi nina fikiri kuna Program zina jifunguwe wenyew wakati wewe unapo funguwa PC yako hebu bonyeza Ctrl +Alt pamoja na Del ipate kufunguka Task Manager ikisha funguka hiyo Task Manager nenda mahali palipo andikwa Startup zuia aka Disable baadhi ya program zinazo funguka wenyewe lakini usije ku disable anti-virus unaweza ku disable CCleaner, Java Updates Helper , Nero kama unayo Skype , Camera aka Vimico ,Adobe reader , google Updates, na program za Apple hiyo itakusaidia kupunguza MB zako zisipate kuliwa kwa wingi .Beijing!
Bonjour wakuu, PC yangu inakula sana data kwa vitu visivyoeleweka.
Nimeweka connection kuwa metered
Nimestop background applications
Nimestop google updates (ilikuwa ishakula mb95)
Nimeweka data limit
Nimezuia system updates mpaka January huko
Lakini bado kila mkitumia nakuta Mb kibao zimeenda nikiangalia nini kimekula naambiwa ni system
Hii hapa screenshot baada ya kuanza kumonitor data usage kwa nusu saa
View attachment 2446444
Firewall mfano wake ni hio Glasswire aliokutajia mdau, window inakuja na firewall yake ila sio powerfull hivyo unadownload 3rd party firewall ili kupata options nyingi.Mkuu hizo Mb ni leo tu, tena ndani ya nusu saa...hiyo imeangalia ndani ya hizo siku lakini mimi sijawahi kuiunga na internet mwezi huu wote.
Hiyo firewall nawekea wapi? Kwenye settings au?
Shukran mkuuGlasswire.com. Kama ni windows update kuna software nyingine ya kuzima updates GitHub - WereDev/Wu10Man: Enable/Disable Windows 10 Automatic Updates (Scroll chini kabisa) maana Microsoft siku hizi wameondoa uwezo wa kuzima updates na ukizima services zinajiwasha.
Shukran mkuuFirewall mfano wake ni hio Glasswire aliokutajia mdau, window inakuja na firewall yake ila sio powerfull hivyo unadownload 3rd party firewall ili kupata options nyingi.
Asante sana mkuu.Mimi nina fikiri kuna Program zina jifunguwe wenyew wakati wewe unapo funguwa PC yako hebu bonyeza Ctrl +Alt pamoja na Del ipate kufunguka Task Manager ikisha funguka hiyo Task Manager nenda mahali palipo andikwa Startup zuia aka Disable baadhi ya program zinazo funguka wenyewe lakini usije ku disable anti-virus unaweza ku disable CCleaner, Java Updates Helper , Nero kama unayo Skype , Camera aka Vimico ,Adobe reader , google Updates, na program za Apple hiyo itakusaidia kupunguza MB zako zisipate kuliwa kwa wingi .
View attachment 2447321
Zima auto updates za Windows, Disable Microsoft Windows Defender, Zima background apps.... Utaona mabadiliko, PC yangu naweza tumia hata MB100 kwa siku 1 au 2 na peruzi tu JF na websites mbali mbali kwa Chrome na zikiisha zinaisha ki halali kabisa na apps ntakayokuta imezitumia ni Chrome pekee sio nje ya hapo....Beijing!
Bonjour wakuu, PC yangu inakula sana data kwa vitu visivyoeleweka.
Nimeweka connection kuwa metered
Nimestop background applications
Nimestop google updates (ilikuwa ishakula mb95)
Nimeweka data limit
Nimezuia system updates mpaka January huko
Lakini bado kila mkitumia nakuta Mb kibao zimeenda nikiangalia nini kimekula naambiwa ni system
Hii hapa screenshot baada ya kuanza kumonitor data usage kwa nusu saa
View attachment 2446444
Tumia program inaitwa CCleaner itakusaidia kuzuia program ambazo zinakula bando pamoja na zinafunguka na kutumika bila wewe kujua utaweza kuzuia [emoji2937]Beijing!
Bonjour wakuu, PC yangu inakula sana data kwa vitu visivyoeleweka.
Nimeweka connection kuwa metered
Nimestop background applications
Nimestop google updates (ilikuwa ishakula mb95)
Nimeweka data limit
Nimezuia system updates mpaka January huko
Lakini bado kila mkitumia nakuta Mb kibao zimeenda nikiangalia nini kimekula naambiwa ni system
Hii hapa screenshot baada ya kuanza kumonitor data usage kwa nusu saa
View attachment 2446444