Msaada pc yangu haidisplay lakini kwenye kitufe cha kuwashia imewaka

Msaada pc yangu haidisplay lakini kwenye kitufe cha kuwashia imewaka

kukumsela

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2018
Posts
725
Reaction score
917
Wakuuu habari zenu pc yangu aina ya hp haidisplay lkn kitufe cha kuwashiwa imewaka.​

20210501_165755.jpg
 
Huwa troubleshoot rahisi ni kutafuta waya WA vga na monitor Kisha kujaribu kuangalia kama ita display kwenye monitor ya nje, ikidisplay ujue ni tatizo LA display la laptop, is ipo display ni tatizo jengine.
 
Kizamani

Tulikuwa tunabofya hapo pa kuwashia na kushikilia kwa sekunde kama 6 hadi 10 hadi pc izimike. Kisha unawasha tena kuangalia kama tatizo lipo.

Kama bado lipo, tulikuwa tunaunganisha waya wa VGA kwenye monitor nyingine na kubofya kitufe cha kuhamisha display kuonesha kwenye monitor hiyo nyingine.

Kama bado haioneshi, tulikuwa tunapeleka kwa fundi.

Mafundi walikuwa wanatuambia huenda mainboard imekufa, ama display imekufa, kama ni board imekufa, usihangaike kuitengeneza, bali toa harddisk ili ufanye backup ya data zako kisha pc utaitumia kama spea.

Kama ni dispaly, ni rahisi kubadilisha nyingine zinazoingiliana.

Kila la heri.

Vijana wa sasa watakusaidia kisasa zaidi.
 
Huwa troubleshoot rahisi ni kutafuta waya WA vga na monitor Kisha kujaribu kuangalia kama ita display kwenye monitor ya nje, ikidisplay ujue ni tatizo LA display la laptop, is ipo display ni tatizo jengine.
Chief nilikutumia PM sijui kama umeiona...
 
Haikuleta blue screen kabla ya kuleta hiyo changamoto?
 
Wakuuu habari zenu pc yangu aina ya hp haidisplay lkn kitufe cha kuwashiwa imewaka.​

View attachment 1770175
Issue simple tu bwa shee..!! Kwanza iwashe then angalia CAPS LOCK kwenye keyboard yako hapo ibonyeze, inawaka na kuzima ukibonyeze? If haiwaki hiyo machine itakuwa na tatizo kuwa haimalizi kuwaka ila ibakuongopea kuwaka hivo shida kama ni hiyo itabidi umuonw fundi tu cos hiyo changamoto ni kubwa hasa kwa hizo HP generation ya 8 core i5.

Hp yako kama ni G2 basi unaweza kuangalia RAM au conector ya mouse (touchpad) kuingia kwenye board ukanidisconect then ukawasha (kumbuka hii unatoa keyboard ndo unakutana nayo) Hp 430 G2 zina madhira haya.

NB:- kama machine yako itakuwa ni Genarition kuanzia 8 kuja juu itaweza kutibika japo mafundi wengi hawawezagi kuzitibu.
 
wadau naombeni mwenye cover/motherboard/case (cjui jna sahh ni lipi ila nadhan nmeeleweka) ya hii pc

HP PROBOOK 6570b Core i5
 
Tumia vga kuchek display
Reset ram
Washa bila hdd
Discharge static electricity kuptia cmos
Ikifel troubleshoot mootherboard
 
Huwa troubleshoot rahisi ni kutafuta waya WA vga na monitor Kisha kujaribu kuangalia kama ita display kwenye monitor ya nje, ikidisplay ujue ni tatizo LA display la laptop, is ipo display ni tatizo jengine.
Mkuu upo active mkuu
 
Nina computer yangu hp i3 core power suplie imekufa nikanunua nyingine used ila imewaka ila sasa inawasha tatizo inazunguka high speed kama ime overload muda wote hapa tatizo nini inavuma muda wote
 
Back
Top Bottom