Unstate Bug
Member
- Aug 16, 2015
- 82
- 88
Habari za majukumu wanaJF,
Kama title isemavyo, PC angu imezima leo na imeanza kwa
kujiandika maneno hayo kama inavoonekana kwa picha then maandishi mekundu ambayo haikuchukua muda ikazima a haiwaki tena. But taa ya POWER na kitufe cha CAPS LOCK nacho kinawaka uki press Powe button.
Naomba msaada wa kiufundi tafadhali.
Kama title isemavyo, PC angu imezima leo na imeanza kwa
Naomba msaada wa kiufundi tafadhali.