Unstate Bug
Member
- Aug 16, 2015
- 82
- 88
hapo mchawi BIOS hatua ya kwanza ni ku restore BIOS kama ikifeli ndio unaenda hatua ya pill... hiyo inahusu hardwareHabari za majukumu wanaJF,
Kama title isemavyo, PC angu imezima leo na imeanza kwaView attachment 3188655 kujiandika maneno hayo kama inavoonekana kwa picha then maandishi mekundu ambayo haikuchukua muda ikazima a haiwaki tena. But taa ya POWER na kitufe cha CAPS LOCK nacho kinawaka uki press Powe button.
Naomba msaada wa kiufundi tafadhali.View attachment 3188655
Ahsante Kaka.hapo mchawi BIOS hatua ya kwanza ni ku restore BIOS kama ikifeli ndio unaenda hatua ya pill... hiyo inahusu hardware
kuna combination ya keys za kubonyeza wakati unawasha ...kwa ajili ya kufanya hilo zoezi la kurestore.Ahsante Kaka.
But imezima kabisa baada ya ujumbe huo
inawezekana... nicheki whatsapp 0782780980.Unaweza kunisaidia Mkuu.
Mkuu, ungeweka hapa maujuzi ili na sie wengine tujifunze. Huu ndio upendo wa wanajamiiforuminawezekana... nicheki whatsapp 0782780980.
sema utachangia service kidogo