Msaada: Period (hedhi) inanitesa

Msaada: Period (hedhi) inanitesa

Habari zenu wakuu.

Nachukia the way ninakua ninapokua kwenye hedhi.

Ninapokua kwenye siku zangu mahusiano yangu na watu wengine yanakua hatarini.

Mwanzoni nilikua nachukulia kawaida ila sasa hivi nimejua hili ni tatizo tena kubwa na ninaomba anayeweza kunisaidia anisaidie nifanyaje mana hata najiuliza kama nikiolewa kuna atakayeweza kuishi na mimi kila mwezi siku tatu nakua wa ajabu😭.

Hili tatizo limesababisha nipoteze wafanyakazi wengi wazuri.

Hapa ninavyoandika nimetoka kufanya maamuzi mabaya sana na ninajutia ila sijui kama niliyemfanyia anaweza kunisamehe mahusiano yarudi.

Nimekuja kukumbuka nimefanya niliyofanya sababu ya period wakati niko bafuni naoga.

Cha ajabu ni kwamba,hizo siku tatu zikipita huwa najiahidi kutofanya maamuzi yeyote ya hasira nikiwa period ila nikiingia tu period zile siku tatu za mwanzo nakua na moody mbaya na mtu akiniudhi kidogo tu nahuzunika sana,naweza kulia tu au kuamua kujitenga na huyo mtu.

Najaribu sana kuji control ila mwishowe najikuta naharibu tu😭😭.

Msaada wenu please na please naomba msinihukumu mana jinsi ninavyojisikia hovyo muda huu anajua Mungu tu.
Nenda kwa mwamposa
 
Habari zenu wakuu.

Nachukia the way ninakua ninapokua kwenye hedhi.

Ninapokua kwenye siku zangu mahusiano yangu na watu wengine yanakua hatarini.

Mwanzoni nilikua nachukulia kawaida ila sasa hivi nimejua hili ni tatizo tena kubwa na ninaomba anayeweza kunisaidia anisaidie nifanyaje mana hata najiuliza kama nikiolewa kuna atakayeweza kuishi na mimi kila mwezi siku tatu nakua wa ajabu[emoji24].

Hili tatizo limesababisha nipoteze wafanyakazi wengi wazuri.

Hapa ninavyoandika nimetoka kufanya maamuzi mabaya sana na ninajutia ila sijui kama niliyemfanyia anaweza kunisamehe mahusiano yarudi.

Nimekuja kukumbuka nimefanya niliyofanya sababu ya period wakati niko bafuni naoga.

Cha ajabu ni kwamba,hizo siku tatu zikipita huwa najiahidi kutofanya maamuzi yeyote ya hasira nikiwa period ila nikiingia tu period zile siku tatu za mwanzo nakua na moody mbaya na mtu akiniudhi kidogo tu nahuzunika sana,naweza kulia tu au kuamua kujitenga na huyo mtu.

Najaribu sana kuji control ila mwishowe najikuta naharibu tu[emoji24][emoji24].

Msaada wenu please na please naomba msinihukumu mana jinsi ninavyojisikia hovyo muda huu anajua Mungu tu.
Pole, kumbe hedhi inawapelekesha hvyo km mapepo aisee
 
Habari zenu wakuu.

Nachukia the way ninakua ninapokua kwenye hedhi.

Ninapokua kwenye siku zangu mahusiano yangu na watu wengine yanakua hatarini.

Mwanzoni nilikua nachukulia kawaida ila sasa hivi nimejua hili ni tatizo tena kubwa na ninaomba anayeweza kunisaidia anisaidie nifanyaje mana hata najiuliza kama nikiolewa kuna atakayeweza kuishi na mimi kila mwezi siku tatu nakua wa ajabu[emoji24].

Hili tatizo limesababisha nipoteze wafanyakazi wengi wazuri.

Hapa ninavyoandika nimetoka kufanya maamuzi mabaya sana na ninajutia ila sijui kama niliyemfanyia anaweza kunisamehe mahusiano yarudi.

Nimekuja kukumbuka nimefanya niliyofanya sababu ya period wakati niko bafuni naoga.

Cha ajabu ni kwamba,hizo siku tatu zikipita huwa najiahidi kutofanya maamuzi yeyote ya hasira nikiwa period ila nikiingia tu period zile siku tatu za mwanzo nakua na moody mbaya na mtu akiniudhi kidogo tu nahuzunika sana,naweza kulia tu au kuamua kujitenga na huyo mtu.

Najaribu sana kuji control ila mwishowe najikuta naharibu tu[emoji24][emoji24].

Msaada wenu please na please naomba msinihukumu mana jinsi ninavyojisikia hovyo muda huu anajua Mungu tu.
Pole sana. Mm ndo kwanz nalijua hili kwako mana nisikiaga mwanamke akiwa mjamzito hubadirik.
 
Pole sana Georgyna haupo peke yako, mwenzio mpaka nilikuwa naweza vunja mahusiano na mtu niliye naye lakini hiyo huwa ni nikiwa nimekaribia MP zile siku chache kabla, hasira zikiisha sioni hata kosa la ku-break up ni nini..!!

Na kuna wakati nakuwa very depressed mpaka natamani hata kufa, mpaka nije kukumbuka nimekaribia MP unakuta nimeshateseka na stress ambazo hazina kichwa wala miguu vya kutosha..!!

Hivyo sahii nimejifunza nikiwa na mood mbovu bila sababu na hasira za ajabu naanza kutazama calendar yangu haraka then I take control of it..! Pole sana mwaya, ukiona tu hujielewi kabla hujatenda lolote la kujutia baadaye katazame calendar yako chap, kisha utaweza kui control situation..!!
 
Back
Top Bottom