Msaada: Period (hedhi) inanitesa

Msaada: Period (hedhi) inanitesa

Mbona sasa unazungumzia issue ya kuolewa,huku tayari una mtoto???
Ina maana ni kweli kwa mujibu wa ufahamu wako kuwa na mtoto maana yake ni kuwa na mume au kuwa na mke? Kwani wanaume wangapi wana watoto lakini hawajaoa? Kama ni hivyo kwa mwanaume unashangaa nini ikiwa hivyo kwa mwanawake?
 
Tupo wengi, mi hata siku za joto nakuwa hivyo hasira kisirani mpaka nifokee mtu au nilie ndo natulia, ni kujitahidi tu kuzuia hiyo hali hadi kichwa kuuma na homa hutokea baadhi ya vipindi, sielewi hasira huwa zinatokeaga wapi!!!
Duh!! siku za joto tena!! Dawa ya siku za joto mbona ni rahisi sana!! kumbatio (toka kwa baby wako) moja tu la dk 2 huku wote mkiwa kimyaaaa!! speechless!! baada ya dk hizo mbili mnatazamana usoni kwa dk 1 kimyaa!! hasira zote zinayeyuka!! Angalizo: Kinga iwepo karibu kama ikitokea/just in case!! hizo ni siku za hatariiii!! si unajua joto tena, hapo mwili uko tayari kabisa kuanzisha maisha ya kiumbe kipya!!

Ila ni pole sana kama kipindi hicho kikakukuta huna "baby"!! na huwa unajisikia hasira kipindi hicho cha joto, hapo zinakuwa maradufu!!. Suluhisho hapo ni kuji-keep busy, buni shughuli nyingi za kufanya, waza mipango yako ya maendeleo. Jitahidi kutokujichanganya na "me" katika mazingira tatanishi vinginevyo unaweza kufanya jambo ambalo hukulitarajia na baadaye ikawa majuto ni mjukuu!!
 
P
Hapa nina homa,kichwa kinauma,kichefuchefu ni mawenge tu.

Ntajitahidi
Pole sana,nina mabinti zangu wanapitia humo humo,huwa wanaweza nijibisha tofauti wakiwa kwenye hali hiyo,huwa nawaelewa.Nakuwa mpole.
 
Hiyo ni human nature ingawa kuna nyakati akina dada / mama mnaongeza chumvi kwakuwa Tyr mnakuwa mnajua fika kwamba ikifika nyakati za hedhi miili na mood yenu inakuwa tofauti.

Badala ya kufanya namna yyt kujikontro ,mnaharibu halafu mnaanza kujutia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh!! siku za joto tena!! Dawa ya siku za joto mbona ni rahisi sana!! kumbatio (toka kwa baby wako) moja tu la dk 2 huku wote mkiwa kimyaaaa!! speechless!! baada ya dk hizo mbili mnatazamana usoni kwa dk 1 kimyaa!! hasira zote zinayeyuka!! Angalizo: Kinga iwepo karibu kama ikitokea/just in case!! hizo ni siku za hatariiii!! si unajua joto tena, hapo mwili uko tayari kabisa kuanzisha maisha ya kiumbe kipya!!

Ila ni pole sana kama kipindi hicho kikakukuta huna "baby"!! na huwa unajisikia hasira kipindi hicho cha joto, hapo zinakuwa maradufu!!. Suluhisho hapo ni kuji-keep busy, buni shughuli nyingi za kufanya, waza mipango yako ya maendeleo. Jitahidi kutokujichanganya na "me" katika mazingira tatanishi vinginevyo unaweza kufanya jambo ambalo hukulitarajia na baadaye ikawa majuto ni mjukuu!!
Zikipanda vizuri hata hizo shughuli za kufanya hazifanyiki,, tunaishi tu kigumu
 
Wanawake tuna mitihani yan huyo ni me kabisa ila uzuri now nishajua tatizo ni nini najitahid kujidhibiti na watu wangu wakaribu nishawaambia so inasaidia kidogo .
 
Back
Top Bottom