Habari wadau hope mpo poa
Niende kwenye mada sisi wengine kuclaim mambo ni mwiko tunataka kujua programming very in deep
Sasa km ww ni programmer hope umewah kutumia preprocessors like stdio.H conio.H math.H iostream nk hizo ni preprocessor ambazo zinadefine in built in functions like printf scanf getchar nk
Sasa hzo pre procesaor zina source code zake means ziliandikwa before ili kufanya programming iwe easy na fupi na inayosomeka sasa nikaona isiwe kesi ngoja nizame umo kwenye preprocessor source code huko hadi sasa nimetoka kapa nipo zero
Uko nimegundua kuna vitu km library macros condition compilation nk yaani kila nikisoma izo code sielewi
Naweka link watu muone tusaidiane
https://code.Woboq.Org/qt5/include/math.H.Html
Niende kwenye mada sisi wengine kuclaim mambo ni mwiko tunataka kujua programming very in deep
Sasa km ww ni programmer hope umewah kutumia preprocessors like stdio.H conio.H math.H iostream nk hizo ni preprocessor ambazo zinadefine in built in functions like printf scanf getchar nk
Sasa hzo pre procesaor zina source code zake means ziliandikwa before ili kufanya programming iwe easy na fupi na inayosomeka sasa nikaona isiwe kesi ngoja nizame umo kwenye preprocessor source code huko hadi sasa nimetoka kapa nipo zero
Uko nimegundua kuna vitu km library macros condition compilation nk yaani kila nikisoma izo code sielewi
Naweka link watu muone tusaidiane
https://code.Woboq.Org/qt5/include/math.H.Html