Msaada please kuhusu kuripoti Lugalo Medical school

Msaada please kuhusu kuripoti Lugalo Medical school

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Wandugu,

Kijana amechagliwa kwenda Lugalo kwenye clinical medicine. Kuna taarifa kuwa chuo kimefunguliwa tarehe 3/10/2021. Lakini joining instructions zinasema kufungua ni tarehe 11/11/2021.

Nifanyeje kupata uhakika. Ukipiga simu hawapokea.

Assist please to get the correct information.
 
Fuata joining instructions. Hizo habari za kusikia zitafanya upate kichapo
1633441212617.png


Nadhani hii ya continuing students alikosea kuandika 2022
 
Pale bwana sikia! ukae sawa ukisha ingia pale getini!! usikatize katize njia za chocho kule kawe!! utarushwa kichura utakimbia hutarudi tena Lugalo ! halafu ukiingia pale uwe macho mbele!! siyo kuchunguza kila kitu!

usibadilishe badilishe statement zako utapigwa Lupango wewe!! na hutashtaki popote! ukiwa njiani peke yako macho yawe mbele! nyooka na zako usikate chocho zao! na usidhani hawakuoni ukafanya yako! utaumia.

La Mwisho uwe tayari kushika fyekeo!! tayari kukatia zile fensi zao pnapo ujinga! cha msingi km zimekua!! kua usiende kwanza!! hiyo nakupa bure km una nguvu nenda, lkn pia ukipita ukaingia na kutoka salama usiwachukulie poa wale jamaa!

wao wenyewe wanaogopana sembuse Raia? na huyo Dogo akipata admission hapo! aaache kabisa Misele ya kwenda kunywa pombe Kawe! atapotea mazima! pale mambo ni zaidi ya kijeshi! wakikupotezea usijifanye hawajui details zako!! kifupi hawataki mazoea!

Ukifanya makosa yanayogusa usalama wa jeshi utashangaa wanakwambia details mpaka habari za mkeo! na sabuni aliyoogea jana usiku! na wao wanaamini adui wao mkubwa ni mwananchi mwenyewe Raia!

Ukienda na kigari chako cha mkopo! usiwastue kwa honi hovyo pale getini ! na misele mingi! utalala lupango bila kutaka na kazi za hovyo utafanya tena kimya kimya! na gwanda la muda utavaa! msosi wowote mzuri utagonga tani yako ila uumalize!

Hawataki kusumbuliwa na raia asiyesikia vizuri ndo maana hawapokei simu hovyo!! pia usiwazoee sana kupita kiasi utaumia! wao ni amri moja tu!! cha kujibu wewe ni ndiyo afande!! usirogwe kupokea Saluti ya afande yeyote km kijana ana mwili kubwa !!

Usiseme hujui! ni kosa kubwa ndo hapo utakapo jua! usiwakazie saana mimacho! ukifanya hivo atakuja mwingine usiye mjua atakuhoji usijikanyage kanyage! nyendo zako ni lazima kuzijua!!

Haya yoote ni kwa sababu Msumbiji, Kenya, na Somalia si shwali kabisa!! na wewe kwa kukusaidia ili umalize salama ilinde nchi yako, jeshi lako uwe salama!! km kuna kitu umekitilia shaka popote pale kambini! report haraka kwa MP wa zamu! tena bila kuchelewa!!

kifupi hawana masharti magumu ila ugumu ni wewe mwenyewe!
 
Pale bwana sikia! ukae sawa ukisha ingia pale getini!! usikatize katize njia za chocho kule kawe!! utarushwa kichura utakimbia hutarudi tena Lugalo ! halafu ukiingia pale uwe macho mbele!! siyo kuchunguza kila kitu!

usibadilishe badilishe statement zako utapigwa Lupango wewe!! na hutashtaki popote! ukiwa njiani peke yako macho yawe mbele! nyooka na zako usikate chocho zao! na usidhani hawakuoni ukafanya yako! utaumia.

La Mwisho uwe tayari kushika fyekeo!! tayari kukatia zile fensi zao pnapo ujinga! cha msingi km zimekua!! kua usiende kwanza!! hiyo nakupa bure km una nguvu nenda, lkn pia ukipita ukaingia na kutoka salama usiwachukulie poa wale jamaa!

wao wenyewe wanaogopana sembuse Raia? na huyo Dogo akipata admission hapo! aaache kabisa Misele ya kwenda kunywa pombe Kawe! atapotea mazima! pale mambo ni zaidi ya kijeshi! wakikupotezea usijifanye hawajui details zako!! kifupi hawataki mazoea!

Ukifanya makosa yanayogusa usalama wa jeshi utashangaa wanakwambia details mpaka habari za mkeo! na sabuni aliyoogea jana usiku! na wao wanaamini adui wao mkubwa ni mwananchi mwenyewe Raia!

Ukienda na kigari chako cha mkopo! usiwastue kwa honi hovyo pale getini ! na misele mingi! utalala lupango bila kutaka na kazi za hovyo utafanya tena kimya kimya! na gwanda la muda utavaa! msosi wowote mzuri utagonga tani yako ila uumalize!

Hawataki kusumbuliwa na raia asiyesikia vizuri ndo maana hawapokei simu hovyo!! pia usiwazoee sana kupita kiasi utaumia! wao ni amri moja tu!! cha kujibu wewe ni ndiyo afande!! usirogwe kupokea Saluti ya afande yeyote km kijana ana mwili kubwa !!

Usiseme hujui! ni kosa kubwa ndo hapo utakapo jua! usiwakazie saana mimacho! ukifanya hivo atakuja mwingine usiye mjua atakuhoji usijikanyage kanyage! nyendo zako ni lazima kuzijua!!

Haya yoote ni kwa sababu Msumbiji, Kenya, na Somalia si shwali kabisa!! na wewe kwa kukusaidia ili umalize salama ilinde nchi yako, jeshi lako uwe salama!! km kuna kitu umekitilia shaka popote pale kambini! report haraka kwa MP wa zamu! tena bila kuchelewa!!

kifupi hawana masharti magumu ila ugumu ni wewe mwenyewe!

mbona kama unamtisha
 
Back
Top Bottom