Msaada please! Sipati choo

Msaada please! Sipati choo

Jaman directly katika tatzo langu ni kuwa wiki ya tatu hii sipati choo...ukilinganisha na ndonga ninayokula . nikijitahidi sana kias kidogo sana hata kidole cha mwisho kikubwa..tumbo haliumi na njaa inauma vizuri tuu...hospital nkapima laboratory. Wakasema no problem. Cjui ni uchawi gan huu Naamini g ntapata msaada wenu..humu maana jf ndo mkomboz na suluhisho la tatzo. Asanten
HATA CHA KULIPIA HUPATI MKUU?
 
Jaribu kula papai,avocado na maji ya kutosha 3L/day bila kusahau mboga za majani katika diet yako
Pia unaweza tumia dawa
Lactulose syrup 15mls usiku kabla ya kulala
Vidonge vinaitwa bisacodyl 10mg od 3/7
Utapa choo fasta....pia unaposikia haja ya choo don't delay nenda kaitoe kwani kuendelea kukaa nayo inakua ngumu kwa sababu ya mechanism ya utumbo mpana kufyonza maji.
Kuna madhara unaweza pata kama unapata choo ngumu mara kwa mara hii ni kutokana na straining...inaweza pelekea kupata hemorrhoid/piles
 
Upataji wa choo unategemea vyakula unavyokula, matunda, kiasi cha maji unachokunywa, mazoezi unayofanya pia kama ulitumia dawa za kupunguza maumivu hivi karibuni zina madhara katika kufunga choo. Msongo wa mawazo pia unaweza kusababisha tatizo hilo.
I wish I kudi be mumeo..[emoji7]
 
Asanten naona faraja inarejea nahis ntapona barikiwa Wote na bado napokea ushauri. Nmeanza na tizi leo wakuu. Bdae kidogo juic a matunda yatahusika. Thanks all
 
Jaribu kula papai,avocado na maji ya kutosha 3L/day bila kusahau mboga za majani katika diet yako
Pia unaweza tumia dawa
Lactulose syrup 15mls usiku kabla ya kulala
Vidonge vinaitwa bisacodyl 10mg od 3/7
Utapa choo fasta....pia unaposikia haja ya choo don't delay nenda kaitoe kwani kuendelea kukaa nayo inakua ngumu kwa sababu ya mechanism ya utumbo mpana kufyonza maji.
Kuna madhara unaweza pata kama unapata choo ngumu mara kwa mara hii ni kutokana na straining...inaweza pelekea kupata hemorrhoid/piles
Ivi piles inawez kusababisha tatizo la kushindwa kurelaxy kwa sphinter muscles
 
Asanten naona faraja inarejea nahis ntapona barikiwa Wote na bado napokea ushauri. Nmeanza na tizi leo wakuu. Bdae kidogo juic a matunda yatahusika. Thanks all
Pole sana mkuu, kunywa maji ya moto glass moja asubuhi,Mshana na jioni kabla hujalala.
Badili mfumo wako Wa maisha kuanzia vyakula, mawazo( relax km una usongo Wa mawazo) pia jitahidi kufanya mazoezi kiasi cha 20-30 dakika..!!

Acha kula ugali Wa sembe. Punguza sana bidhaa za ngano nyeupe na wali punguza.. Kula viyu vya asili kabisa bila kusahau maji mengi na matunda

NB. MIMI SIYO DAKITARI. MAUMIVU YAKIZIDI NENDA HOSPIALI ILIYOKARIBU NAWE.
 
Pole mkuu!!! Jaribu usile kwa siku tatu!!! Kama unaweza, kunywa maji tu kwa siku tatu... Inasafisha mfumo wa chakula.
 
Mazoezi,ndizi,maji ya kutosha na juice ya ukwaju ikishindikana hapo katafute specialist wa choo
 
Haiwezi mkuu kwani sphincter muscle zinakuwa intact,ishu hapo ni mishipa ya damu inaslide kushuka chini then inapasuka,ila huwa inapona.
Hemorrhoid ina grade zake kama ifuatavyo;
Ya kushuka na kurudi yenyewe hapa huwa ni dawa inapona ila chance ya recurrence ni kubwa
Ya kushuka bila kurudi mpaka irudishwe.
Kuna yakushuka mojamoja hairudi
Ya pili na ya tatu tiba yake operation (hemorrhoidectomy)
 
Haiwezi mkuu kwani sphincter muscle zinakuwa intact,ishu hapo ni mishipa ya damu inaslide kushuka chini then inapasuka,ila huwa inapona.
Hemorrhoid ina grade zake kama ifuatavyo;
Ya kushuka na kurudi yenyewe hapa huwa ni dawa inapona ila chance ya recurrence ni kubwa
Ya kushuka bila kurudi mpaka irudishwe.
Kuna yakushuka mojamoja hairudi
Ya pili na ya tatu tiba yake operation (hemorrhoidectomy)

Je, hii grade ya kwanza tiba yake ni nini hasa na kwa utaratibu upi?
 
Jaman directly katika tatzo langu ni kuwa wiki ya tatu hii sipati choo...ukilinganisha na ndonga ninayokula . nikijitahidi sana kias kidogo sana hata kidole cha mwisho kikubwa..tumbo haliumi na njaa inauma vizuri tuu...hospital nkapima laboratory. Wakasema no problem. Cjui ni uchawi gan huu Naamini g ntapata msaada wenu..humu maana jf ndo mkomboz na suluhisho la tatzo. Asanten


Jaribu kubadilisha chakula si kula chakula cha aina moja kila siku. Hii pia husababisha kutopata choo, yaani kula ugali na matembele tu kila siku tumbo linakasirishwa na kususa kunya.
 
Je, hii grade ya kwanza tiba yake ni nini hasa na kwa utaratibu upi?

1.hutakiwi kupata choo ngumu ili kuepuka straining hivyo basi tumia sana mboga za majani kulainisha choo,kunywa maji ya kutosha at least 3lts/day,matunda kama mapapai yanalainisha sana choo.
Choo kikilainika unapata fast recovery.
2.epuka kusimama muda mrefu pia.
3.kuna dawa pills/cream za ku apply via anus.
ukijifaham wewe unashida ya hemorrhoid zingatia sana diet kama hiyo hapo juu kurpuka excessive straining
 
1.hutakiwi kupata choo ngumu ili kuepuka straining hivyo basi tumia sana mboga za majani kulainisha choo,kunywa maji ya kutosha at least 3lts/day,matunda kama mapapai yanalainisha sana choo.
Choo kikilainika unapata fast recovery.
2.epuka kusimama muda mrefu pia.
3.kuna dawa pills/cream za ku apply via anus.
ukijifaham wewe unashida ya hemorrhoid zingatia sana diet kama hiyo hapo juu kurpuka excessive straining
Asante mkuuu.....
 
Back
Top Bottom