Msaada please: Tatizo la kutokwa damu during sex

Msaada please: Tatizo la kutokwa damu during sex

Muwahishe hospitali vinginevyo asahau ku-conceive. Pia inawezekana amevamiwa na pepo mbaya hataki uendelee naye, mshauri aende akaombewe kwa watumishi wa Bwana. Ila usiendeleze uasherati naye tena kwani si mkeo!
 
Hebu nipe no zake nimuulize vizuri..nimrembo sana kwani?
 
Kawaida hayo ni madhara ya kutumia vidonge vya uzazi ,ndio baada ya muda kufunga sana kutoingi mimba baada ya muda husababisha kansa kwenys uke na kusababisha damu kutoka hiyo imemtkkea jiran kaenda kupima anamiaka 29 na mtoto mmoja
 
Back
Top Bottom