Habarini wana jf!
Naomba kujua je mama mjamzito kama amepata maleria anaweza kutumia hii dawa mseto ya maleria (ALU)?,
Je kuna madhara yoyote anaweza kuyapata mama au mtoto aliye tumboni?
Ni dawa ipi inafaa kwa mama mjamzito kwa kujitibu na maleria.
Natanguliza shukrani za dhati.
Naomba kujua je mama mjamzito kama amepata maleria anaweza kutumia hii dawa mseto ya maleria (ALU)?,
Je kuna madhara yoyote anaweza kuyapata mama au mtoto aliye tumboni?
Ni dawa ipi inafaa kwa mama mjamzito kwa kujitibu na maleria.
Natanguliza shukrani za dhati.