MESSI
Member
- Apr 3, 2011
- 38
- 2
HABARI ZA JPILI WAKUU,
ETI IS IT POSSIBLE KWA MWANAMKE MWENYE MZUNGUKO WA HEDHI WA SIKU 28/29 KUPATA MIMBA IWAPO ATAFANYA MAPENZI SIKU YA 23?
naombeni msaada wenu wa kitaalamu na wa kimawazo pia ktk hilo..maana mpnz wangu haoni siku zake leo siku ya pili sasa amekuwa na wasiwasi sana..hali hii inaweza kuwa inasababishwa na nini?
ETI IS IT POSSIBLE KWA MWANAMKE MWENYE MZUNGUKO WA HEDHI WA SIKU 28/29 KUPATA MIMBA IWAPO ATAFANYA MAPENZI SIKU YA 23?
naombeni msaada wenu wa kitaalamu na wa kimawazo pia ktk hilo..maana mpnz wangu haoni siku zake leo siku ya pili sasa amekuwa na wasiwasi sana..hali hii inaweza kuwa inasababishwa na nini?