watu mnapokutana na kuanzisha uhusiano inachukua muda gani mpaka muamue kufunga ndoa?
mnaweza kuwa kwenye uhusiano na mtu baada ya miezi mitatu akwambie anataka mfunge ndoa kwa hiyo muanze maandalizi?
nataka disadvantage na advantage na huwa ni kawaida vitu kama hivi au kunakuwa na tatizo
mnaweza kuwa kwenye uhusiano na mtu baada ya miezi mitatu akwambie anataka mfunge ndoa kwa hiyo muanze maandalizi?
nataka disadvantage na advantage na huwa ni kawaida vitu kama hivi au kunakuwa na tatizo