msaada please

msaada please

Masanilo haya mambo ya kutake time nayaelewa sana na nimekuwa naye tangu last year December kwa kweli hana tataizo lakini ni muda mchache sana watu kuamua kuoana japo wengine wanasema hawana tatizo
ni hizi sisi hatukuzungushana tulikutana ndani ya wiki moja tukapendana tukakubaliana baadhi ya mambo na tukayatimiza, kila mmoja aka play party yake.

Take care Joy, katika huo muda mfupi mliopo kwenye uhusiano unaweza kumuona hana tatizo then mkiingia kwenye ndoa anageuka tatizo. Kumbuka kuna pretenders! Pia penzi lisikufanye kipofu hadi ukashindwa kuona the other side of him!
Swali: Je ktk huo muda mfupi umeridhika kwamba umemfahamu vya kutosha?
 
Himawari umenena kweli tupu. Anahitaji kumfahamu vya kutosha Joyce ndoa si lelemama ndugu yangu usione watu wanafurahia na kuoana kila kukicha, laiti kuta zingekuwa vioo tukaona yanayoendelea ndani mwa nyumba za watu tungekimbiana. Na laiti watu wanaoachana wangekuwa wanaitisha vikao na kutangaza kama tunavyofanya wakati wa kuoana tungejua hali halisi ya maisha ya ndoa.

Take your time baby itajafika wakati unatamani heri ungebakia kuwa single au unatamani japo uwe single for a month na ukaukosa.
 
Joy dear kama umempenda huyo mwanaume na yy kakupenda mie sioni kama kuna umuhimu wa kupeana muda mrefu kuchunguza tabia. Nadhani kama wewe ni binti uliyemakini tayari umeshaona kama huyo kaka anafaa au lah!
Kama anafaa we chukua chako mapema.
 
watu mnapokutana na kuanzisha uhusiano inachukua muda gani mpaka muamue kufunga ndoa?
mnaweza kuwa kwenye uhusiano na mtu baada ya miezi mitatu akwambie anataka mfunge ndoa kwa hiyo muanze maandalizi?

nataka disadvantage na advantage na huwa ni kawaida vitu kama hivi au kunakuwa na tatizo

Sister Joyceline hapo ndipo hatuwaelewi kina dada tukichelewa mnatupa majina lukuki tukitaka kufunga kazi mapema mnadai ni haraka mno tuvute subira....
 
joy dear kama umempenda huyo mwanaume na yy kakupenda mie sioni kama kuna umuhimu wa kupeana muda mrefu kuchunguza tabia. Nadhani kama wewe ni binti uliyemakini tayari umeshaona kama huyo kaka anafaa au lah!
Kama anafaa we chukua chako mapema.


asante dada
 
mambo dada Joy?
Sie wadada huwa tunapenda sana kuwa na mwenzi mmoja mzuri mwaminifu kwa maisha yote yaliobakia. tunapenda huyo kaka atupende kwa ukweli, awe hendasome, awe na akili, ..... na listi ndefu sana.
Ila inapofika siku ya kusema YES/NO huwa tunapata vigugumizi, kwani mara zote unakuta hajatimiza hata nusu ya listi tulionayo kichwani na katika ndoto zetu. Au anakuja wakati mbovu.
Ni wakati mgumu.
Pole sana dada.

Cha muhimu jiamini kama mwanamke uliepewa 'instincts'
fuatilia maadili uliofundishwa tangu utotoni, hakuna cha kuhesabu miezi wala miaka.
Kama unamuamini sasa, unamuheshimu na mawazo yake kwa sasa, chances ni kuwa itakuwa hivyo kwa muda mrefu ujao.
Ila kama una sita, kwa kutazama yeye (sio muda) basi ni kweli kuna tatizo, ila mueleweshe uliza, akukujibu ukaridhika basi mama karibu kwenye chama.
Tegemea atabadilika sana, na wala sio kwamba alikuwa anajificha (mostly) bali anazidi kukua kama wewe utakavyokua unakua na kubadili interests. Hamtakiwi kulaumiana kwa kubadilika bali wote muendane mabadiliko yenu.
Mambo machache ya kujiridhisha ambayo huleta mitafaruku mikubwa na midogo baadaye nikama

1. mtazamo wenu kwa pesa, je gender relationships kwenye swala la pesa liko vipi, mishahara mezani? je shared accounts? etc
2. Watoto, je ni wakiume, wa kike, wasipokuwapo? kuadopt?
3. imani, je zinawaongoza, kwa kiasi gani, open to changes?
4. Wazazi, ndugu, watoto wa kulea, kufikia kusomesha
5. Sex? open to new ideas, strict?
6. What do you expect a wife/ husband to do for you?
na kadhalika jaribu kuwa wazi na misimamo yako, na ujue misimamo yake, utajua tu kama utaweza kuiheshimu na kuihimili SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKO.

then hata kama ni kesho mama ingia kwenye ndoa yako kwa matumaini.
Ndoa nzuri zipo tu, siku zote, na mbaya zipo tu, wewe ni kuchagua,
uKISHAAMUA UTAPATA AMANI.
Wewe ulishawahi kupata ki
 
Siwezi kumpa.

Dada Joy, ikitokea tayari uko ndani ya ndoa halafu jamaa ni goigoi kwenye yale mambo flan, utamlaumu nani? au utaendelea kuugulia na maumivu for the rest of your life!!?
 
dada joy, ikitokea tayari uko ndani ya ndoa halafu jamaa ni goigoi kwenye yale mambo flan, utamlaumu nani? Au utaendelea kuugulia na maumivu for the rest of your life!!?


mh! Kabla hamjaanza mahusiano mtu si anakueleza love background yake, na kama atakuwa goigoi kwa nini anataka kuoa
 
mambo dada joy?
Sie wadada huwa tunapenda sana kuwa na mwenzi mmoja mzuri mwaminifu kwa maisha yote yaliobakia. Tunapenda huyo kaka atupende kwa ukweli, awe hendasome, awe na akili, ..... Na listi ndefu sana.
Ila inapofika siku ya kusema yes/no huwa tunapata vigugumizi, kwani mara zote unakuta hajatimiza hata nusu ya listi tulionayo kichwani na katika ndoto zetu. Au anakuja wakati mbovu.
Ni wakati mgumu.
Pole sana dada.

Cha muhimu jiamini kama mwanamke uliepewa 'instincts'
fuatilia maadili uliofundishwa tangu utotoni, hakuna cha kuhesabu miezi wala miaka.
Kama unamuamini sasa, unamuheshimu na mawazo yake kwa sasa, chances ni kuwa itakuwa hivyo kwa muda mrefu ujao.
Ila kama una sita, kwa kutazama yeye (sio muda) basi ni kweli kuna tatizo, ila mueleweshe uliza, akukujibu ukaridhika basi mama karibu kwenye chama.
Tegemea atabadilika sana, na wala sio kwamba alikuwa anajificha (mostly) bali anazidi kukua kama wewe utakavyokua unakua na kubadili interests. Hamtakiwi kulaumiana kwa kubadilika bali wote muendane mabadiliko yenu.
Mambo machache ya kujiridhisha ambayo huleta mitafaruku mikubwa na midogo baadaye nikama

1. Mtazamo wenu kwa pesa, je gender relationships kwenye swala la pesa liko vipi, mishahara mezani? Je shared accounts? Etc
2. Watoto, je ni wakiume, wa kike, wasipokuwapo? Kuadopt?
3. Imani, je zinawaongoza, kwa kiasi gani, open to changes?
4. Wazazi, ndugu, watoto wa kulea, kufikia kusomesha
5. Sex? Open to new ideas, strict?
6. What do you expect a wife/ husband to do for you?
Na kadhalika jaribu kuwa wazi na misimamo yako, na ujue misimamo yake, utajua tu kama utaweza kuiheshimu na kuihimili siku zote za maisha yako.

Then hata kama ni kesho mama ingia kwenye ndoa yako kwa matumaini.
Ndoa nzuri zipo tu, siku zote, na mbaya zipo tu, wewe ni kuchagua,
ukishaamua utapata amani.
Wewe ulishawahi kupata ki
poa haikanimekuelewa sana na pia asante kwa kunifafanulia vizuri kuna vitu vingine nilikuwa sivijui
 
Hakuna jibu rahisi kwamba ni wakati gani unaweza kuamua sasa mfunge ndoa.
Kuna watu wanatafutiwa wachumba, wanakutana kwa mara ya kwanza siku ya kufunga ndoa. Ndoa hizi zipo zilizodumu sana.

Halafu wako waliochukua muda wa kutosha hadi hata miaka 3,4,5 kufahamiana kabla ya kuoana.Cha ajabu mara baada ya kufunga ndoa ni matatzio matupu hadi ndoa inasambaratika wakati hawajaishi kwenye ndoa hata miaka miwili!

There must be a catch somewhere with this ndoa biz.


kabisa kabisa, nakumbuka 07 nilikuwa mahali tumekaa na ma frnd kwa kiburudisho, akatokea mkaka akampenda, baada ya mwezi akaja kuniambia wana mikakati ya ndoa, i was like eeh jamani mbona mapema sana subiri mjuane kidogo, akaniambia hapana wacha tufunge ndoa, haaa ndoa yao ni ya maelewano/mackilizano na kila jema! so kama WOS alivyosema haya mambo muda wake halic hautabiriki.
 
Vipi Miaka sita mkipeana is that short enough kujuana vijitabia?


mie nadhani mkiingia ndani ndio kila mtu anaonyesha makucha yake! huku nje mtaona machache tu, but ndani ndio kila kitu....
 
Himawari umenena kweli tupu. Anahitaji kumfahamu vya kutosha Joyce ndoa si lelemama ndugu yangu usione watu wanafurahia na kuoana kila kukicha, laiti kuta zingekuwa vioo tukaona yanayoendelea ndani mwa nyumba za watu tungekimbiana. Na laiti watu wanaoachana wangekuwa wanaitisha vikao na kutangaza kama tunavyofanya wakati wa kuoana tungejua hali halisi ya maisha ya ndoa.

Take your time baby itajafika wakati unatamani heri ungebakia kuwa single au unatamani japo uwe single for a month na ukaukosa.


jamani huku nje shost huwezi mfahamu mtu vya kutosha hata mkae 10 yrs, kama karidhika na mwenendo wake mpaka sasa, ningemshauri tu aingie, mana atasubiri mpaka machweo, kweli kuna pretenders but akiendelea ku pretend kwa miaka zaidi ya 3 aendelee tu kusubiri? hakuna anaejua kilichopo moyoni mwa mwenzie, unaweza kuta kweli ana pretend ama ni kweli yupo serious, hakuna anaejua, Joy kama umeridhika ingia mami.
 
mh! Kabla hamjaanza mahusiano mtu si anakueleza love background yake, na kama atakuwa goigoi kwa nini anataka kuoa

hehehehe ukijua ni machungu bora ubaki bumbuazi nikikutajia wanawake 50 niliotembea nao na kama 20 hivi unawafahamu vp itakusaidia hapo? Na mimi tayari tumeshakuwa wachumba na wapenzi wa muda mrefu.
 
jamani huku nje shost huwezi mfahamu mtu vya kutosha hata mkae 10 yrs, kama karidhika na mwenendo wake mpaka sasa, ningemshauri tu aingie, mana atasubiri mpaka machweo, kweli kuna pretenders but akiendelea ku pretend kwa miaka zaidi ya 3 aendelee tu kusubiri? Hakuna anaejua kilichopo moyoni mwa mwenzie, unaweza kuta kweli ana pretend ama ni kweli yupo serious, hakuna anaejua, joy kama umeridhika ingia mami.

asante nitawaambia kitakachotokea
 
hehehehe ukijua ni machungu bora ubaki bumbuazi nikikutajia wanawake 50 niliotembea nao na kama 20 hivi unawafahamu vp itakusaidia hapo? Na mimi tayari tumeshakuwa wachumba na wapenzi wa muda mrefu.


ni vizuri mtu akuambie mwenyewe kuliko uje usikie kwa watu baki,
 
Back
Top Bottom