Msaada pliz

Pelham 1

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
548
Reaction score
99
Habari zenu Wataalam
Natumai mmeamka salama salimin.
Mpenzi wangu anaumwa sana na kichwa kimeanza jana bt sasa hv asubuhi kimezidi,
Anasema anasikia ni kizito na kama kizunguzungu
Akifumbua macho kinauma.
Naombeni ushauri kwa mwenye tiba na utalaam na hili.
Natanguliza shukrani za dhati.
 
anywe maji mengi,apumzike,akipata nafuu akapime malaria,typhoid,na macho....katika hospitali ya uhakika.
 
Kuumwa kichwa sio ugonjwa ila ni dalili ya kuwa unaweza kuwa mgonjwa. Ili kukusaidia zaidi nakubaliana na hoja ya kumpeleka hospitali, ila angalia dalili nyingine kama kukosa hamu ya kula, kichefuchefu, maumivu ya viungo kama mgongo, kuharisha....vyote vinasuggest malaria, typhoid (kama mwanamke Pregnancy???), lakini kama ni kizunguzungu na kichwa anaweza kuangalia blood pressure yake vilevile kwani inaweza kuwa ni mojawapo ya dalili ya hypertension. Vilevile inawezekana akawa ana stress na vitu kama hivyo, hivyo historia yake ya afya na social inaweza kusaidia. Mpatie paracetamol kama kichwa bado kinauma/homa na muende hospitali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…