Msaada pls

Msaada pls

amelia kuanzia jana saa 10 jioni mpaka saa 11 asubuhi, nalala, naamka namkuta analia nimetoka kwenda kazini hajalala, na mchana huu napiga simu analia tu BP imeshuka

kulia lazima ila life has to continue
 
Na huyo mama mtoto alikukuwa hajui anamwenzake ndo amejua jana, si msg za matusi muache mume wangu, unafanya mtoto asipate mapenzi ya baba yake blabla bla
 
Kaka yangu hakuna neno sijaongea, maneno yameniishia , nikirudi nyumbani sijui nitasema nini, namuonea huruma. analia
Ongea nae muleze pamoja na yote yaliyotokea LIFE HAS TO GO ON kwanza unakuta hata mtu anayemlilia hata hana habari naye, si ajabu hata lijamaa lenyewe liko kwenye mishemishe zake hana habari hata chembe za huyo mdogo wako.
 
mdogo wangu anafunga ndoa mwezi wa tisa, tupo kwenye process ila jan amegundua mchumba wake ana mwanamke na mtoto mchanga wa miezi mmitatu wamefanana kama mapacha, alizaa naye akiwa arusha amemleta dar amempangia nyumba ila jamaa ni smart imetumika trick kali sana kumnasa, mdogo wangu amechanganyikiwa sana nimemwambia kila neno nmechoka, embu nipeni tips za kumsaidia, ndani hakupikwi wala hakuliki.



Hapo itabidi huyo ndugu yako awe very strong na aamue kitu ambacho anaona kitamfaa... Poleni hii issue ni kubwa kwa kweli.
 
Na huyo mama mtoto alikukuwa hajui anamwenzake ndo amejua jana, si msg za matusi muache mume wangu, unafanya mtoto asipate mapenzi ya baba yake blabla bla
Khaaa!!! Makubwa, mwambie mdogo wako aangalie ustaarabu mwingine tu na kuanza maisha mapya, angalia tu hali yake kuwa makini na mdogo wako maana ishu kama hizi mabinti huwa hamchelewi kufanya vioja vya kunywa sumu.
 
Amenipigia muda mfupi uliopita jamaa kaja kuchukua vitu vyake vyote ikiwemo gari, kadi ya gari japo alimuandikisha na kila kitu, anasem aanataka amlee mtoto wake, yeye hakupata mapenzi ya baba kwa hiyo anataka mtoto wake ayapate. anamwambia samahani kwa kukupotezea muda
 
Kwani sisi huwa hatuumizwi???
Kwani sisi hatujawahi kuumizwa???
Tena nyie huwa mnatuumiza vibaya sana
Sitaki hata kukumbuka
sawa huwa mnaumizwa ila ni rahisi kuanzisha uhusiano mwingine na unayemchagua.
Sisi mpaka tusuburi kuchaguliwa
(mkaka kuumizwa maumivu hayaumi kama mdada)
 
Hapo itabidi huyo ndugu yako awe very strong na aamue kitu ambacho anaona kitamfaa... Poleni hii issue ni kubwa kwa kweli.

huwa yupo strong kweli ila kwa hili sijui, mwezi uliopita tumeangushiwa bonge la party la engagement tukala tukanywa, hii aibu tutaipeleka wapi, nilishaanza kutoa kadi zamchango kwa watu hapa kazini.
 
sawa huwa mnaumizwa ila ni rahisi kuanzisha uhusiano mwingine na unayemchagua.
Sisi mpaka tusuburi kuchaguliwa
(mkaka kuumizwa maumivu hayaumi kama mdada)

Inauma sana, siyo mimi ila naumia sana, je muhusika si ndo anaumia kabisa
 
Amenipigia muda mfupi uliopita jamaa kaja kuchukua vitu vyake vyote ikiwemo gari, kadi ya gari japo alimuandikisha na kila kitu, anasem aanataka amlee mtoto wake, yeye hakupata mapenzi ya baba kwa hiyo anataka mtoto wake ayapate. anamwambia samahani kwa kukupotezea muda
Aiseee!
Hapo kilichobaki ni kukubali yaliyotokea yameshatokea na kuanza mbele!!Mwambia Lizzy anampa pole sana!
 
Usiku anaamka ananiambia dada mbona mimi nimetulia, au mimi ni mbaya, mbona nina tabia nzuri, sijawahi kumsaliti, sijawahi kulala na mtu zaidi yake yaani, nyumba imekuwa kama msiba hakujawashwa redio wala TV
 
  • Thanks
Reactions: BAK
huwa yupo strong kweli ila kwa hili sijui, mwezi uliopita tumeangushiwa bonge la party la engagement tukala tukanywa, hii aibu tutaipeleka wapi, nilishaanza kutoa kadi zamchango kwa watu hapa kazini.


Naomba nijue ukweli.. wewe kama dada yake lazima umemsoma.. vipi yeye binafsi anataka kuamua vipi?? Na the guy vipi siku zoote mpaka sasa vipi attitude yake??
 
Inauma sana, siyo mimi ila naumia sana, je muhusika si ndo anaumia kabisa
Najua inauma lakini yameishatokea and LIFE HAS TO GO ON
Usiku anaamka ananiambia dada mbona mimi nimetulia, au mimi ni mbaya, mbona nina tabia nzuri, sijawahi kumsaliti, sijawahi kulala na mtu zaidi yake yaani, nyumba imekuwa kama msiba hakujawashwa redio wala TV
Aisee kuwa makini na mdogo wako asije akafanya kitu cha ajabu
 
Back
Top Bottom