ALWATAN KIZIGO
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 539
- 644
Wana jf naomba msaada wenu juu ya qualities za kufungua hiko kituo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kumbuka yeye kaomba ushauri wa taratibu za kufungua kituo na sio utaratibu wa kuwashauri au kuwapa watu msaada wa kisheria!Kama hujui hata taratibu za kufungua kituo cha ushauri wa kisheria utawezaje kuwashauri watu wenye issues nzito za kisheria? huwezi kua mshauri kwa style hiyo.nakushauri fanya kazi nyingine uwezo wa kuwashauri watu ktk mambo ya sheria huna ukifanya hivyo utawaingiza watu kwenye matatizo.